Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini
Moyo wangu umejaa huzuni. Ni huzuni inayotokana na kuongezeka kwa watu, hasa watoto wasiokuwa na elimu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Kweli Operesheni Okoa Elimu inahitajika nchini
WAKATI wanafunzi waliomaliza darasa la saba wakijiandaa kuanza muhula wa kwanza wa kidato cha kwanza, tatizo la kufika kwenye shule za kata bado ni changamoto kutokana na kuwa mbali na...
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Elimu ya uchaguzi inahitajika kwa vijana
HUU ni mwaka wa uchaguzi, ifikapo mwezi wa nane nchi itakuwa katika harakati za kutafutwa rais wa awamu ya tano kurithi kiti cha Rais Jakaya Kikwete.
Mbali ya nafasi ya rais, nafasi nyingine zitakazowaniwa ni Wabunge na Madiwani kujaza nafasi zinazoachwa au kupigania nafasi moja katika majimbo au kata.
Lakini Watanzania wengi ambao wanaaminiwa kupiga kura ili kupatikana maamuzi ya mwisho ya kuwaweka madarakani viongozi hao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kushiriki kupiga...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hXj4gw9-MpPSsGgicAaqaxTggaSK-51VFpsDKW6CqGm0RAVEtxT8ADgtwgT3lLY19zQVx8S3Mgrxwy2ik5-0v4grym1lnTkE/BARABARADAR2.jpg?width=650)
ELIMU YA USALAMA BARABARANI INAHITAJIKA KWA WATANZANIA
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
‘Kuna kazi ya ziada katika elimu’
MVUTANO na mijadala inayohusu ubora wa sera ya elimu na mitaala ya kufundishia imekuwepo kwa muda mrefu nchini, elimu ya sekondari imeguswa sana kutokana na umuhimu wake.
Inaaminika mwanafunzi ili awe na uelewa mzuri atakapofika chuo kikuu lazima awe na msingi zmuri wa elimu ya sekondari, hiyo ndio siri ya kutiliwa mkazo kwa ngazi hiyo ya elimu.
Hata hivyo, ufaulu ni moja ya changamoto inayoumiza vichwa vya wadau wa elimu, ndio sababu ya kuibuka mjadala wa mfumo upi utumike katika...
10 years ago
Michuzi18 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete
![ms](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xB_xK_4ZbrCP2CjiCaLZDp_VIYpJMOUfMG9dV4mIY9Yt4Rk2onn_RL-cLVpDiSY7e4mKB_75LZqhboKeBsqFcjVZzVpRQvJt5HmuRLYJ-YKi0dX6x9MwKr3VfzliTS7ZnbT8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/07/ms.jpg)
10 years ago
Vijimambo17 Jul
Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xB_xK_4ZbrCP2CjiCaLZDp_VIYpJMOUfMG9dV4mIY9Yt4Rk2onn_RL-cLVpDiSY7e4mKB_75LZqhboKeBsqFcjVZzVpRQvJt5HmuRLYJ-YKi0dX6x9MwKr3VfzliTS7ZnbT8=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/07/ms.jpg)
Ridhiwani Kikwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu kuhusu malengo ya maendeleo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa...
10 years ago
GPLTAMASHA LA INJILI NA KUKUZA ELIMU LAJA