Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini

Moyo wangu umejaa huzuni. Ni huzuni inayotokana na kuongezeka kwa watu, hasa watoto wasiokuwa na elimu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kweli Operesheni Okoa Elimu inahitajika nchini

WAKATI wanafunzi waliomaliza darasa la saba wakijiandaa kuanza muhula wa kwanza wa kidato cha kwanza, tatizo la kufika kwenye shule za kata bado ni changamoto kutokana na kuwa mbali na...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Elimu ya uchaguzi inahitajika kwa vijana

HUU ni mwaka wa uchaguzi, ifikapo mwezi wa nane nchi itakuwa katika harakati za kutafutwa rais wa awamu ya tano kurithi kiti cha Rais Jakaya Kikwete.

Mbali ya nafasi ya rais, nafasi nyingine zitakazowaniwa ni Wabunge na Madiwani kujaza nafasi zinazoachwa au kupigania nafasi moja katika majimbo au kata.

Lakini Watanzania wengi ambao wanaaminiwa kupiga kura ili kupatikana maamuzi ya mwisho ya kuwaweka madarakani viongozi hao wanashindwa kutimiza wajibu wao wa kushiriki kupiga...

 

11 years ago

GPL

ELIMU YA USALAMA BARABARANI INAHITAJIKA KWA WATANZANIA

Magari haya yalikutana hivi barabarani maeneo ya Ubungo.  Hivi ndivyo ilivyokuwa baada ya magari hayo kukutana. Dereva…

 

9 years ago

Mwananchi

Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria

Elimu ndogo juu ya kupambana na mbu wanaoeneza ugonjwa wa Malaria ndio inachangia vita dhidi ya ugonjwa huo kuwa ngumu, imeelezwa.

 

10 years ago

Raia Tanzania

‘Kuna kazi ya ziada katika elimu’

MVUTANO  na mijadala inayohusu ubora wa sera ya elimu na mitaala ya kufundishia imekuwepo kwa muda mrefu nchini, elimu ya sekondari imeguswa sana kutokana na umuhimu wake.

Inaaminika mwanafunzi ili awe na uelewa mzuri atakapofika chuo kikuu lazima awe na msingi zmuri wa elimu ya sekondari, hiyo ndio siri ya kutiliwa mkazo kwa ngazi hiyo ya elimu.

Hata hivyo, ufaulu ni moja ya changamoto inayoumiza vichwa vya wadau wa elimu, ndio sababu ya kuibuka mjadala wa mfumo upi utumike katika...

 

10 years ago

Michuzi

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika - Ridhiwani Kikwete



Ridhiwani Kikiwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu  kuhusu malengo ya maendelo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Mhe. Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa Mataifa hivi karibuni, mbunge huyo wa Chalinze mkoani Pwani anasema licha ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Elimu ya utambuzi wa fursa kwa vijana inahitajika: Ridhiwani Kikwete

Ridhiwani Kikiwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)
Ridhiwani Kikwete wakati wa mahojiano na Joseph Msami.(Picha:UM/Idhaa ya Kiswahili)Leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya ujuzi kwa vijana inashangaza kuona kuwa baadhi ya vijana wanajishughulisha katika kujikwamua kiuchumi lakini wengi hawafahamu kuhusu malengo ya maendeleo ya milenia amesema mbunge kijana kutoka Tanzania Ridhiwani Kikwete.Katika mahojiano na Joseph Msami alipotembelea makao makuu ya Umoja wa...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA INJILI NA KUKUZA ELIMU LAJA

Mkurugenzi wa East Africa Promotion Abuu Levy akizungumza jambo. Pembeni yake ni waimbaji Injili wa The Holy Worshipers Massa Choir. Wanahabari wakisikiliza maelezo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani