Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAMASHA LA INJILI NA KUKUZA ELIMU LAJA

Mkurugenzi wa East Africa Promotion Abuu Levy akizungumza jambo. Pembeni yake ni waimbaji Injili wa The Holy Worshipers Massa Choir. Wanahabari wakisikiliza maelezo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

TAMASHA LA KEKI LAJA

Ofisa Habari wa Kampuni ya Azam, Mohammed Ramadhan, akiwaeleza wanahabari hawapo (pichani) jinsi kampuni yake itakavyoshiriki kwenye Tamasha la Keki. Mratibu wa Tamasha hilo, Marion Elius wa Insights akizungumza na wanahabari.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Albam pix 3

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu

JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014, INJILI KUTIKISA TAIFA

UPAKO! Zikiwa zimesalia siku chache kuelekea katika Tamasha la Matumaini litakalofanyika katika Uwanja wa Taifa, Agosti 8, mwaka huu, pamoja na burudani mbalimbali, waimbaji wa muziki wa Injili watakuwepo kulipamba tamasha hilo. Mwimbaji wa nyimbo za injili Bongo, Martha Mwaipaja. Akizungumza na Mikito Nusunusu, mratibu wa tamasha hilo, Luqman Maloto alisema kila kitu kimekwenda kwenye mstari na kinachosubiriwa ni muda ufike,...

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA KUKUZA UTAMADUNI NA UTALII KUFANYIKA BAGAMOYO

Mmoja wa maofisa wa tamasha hilo, Muslim Nassor,  akizungumza jambo na wanahabari (hawapo pichani). Wasanii wa kundi la The Spirit Band  wakiwa katika pozi. TAMASHA la Karibu Music Festival lenye lengo la…

 

11 years ago

GPL

TAMASHA LA MATUMAINI 2014 WASANI NYIMBO ZA INJILI KUSHUSHA UPAKO

Watumishi wa Mungu wanaofanya kazi ya kusambaza Injili kupitia karama ya uimbaji, Upendo Nkone, Ambwene Mwasongwe, Angela, Paul Clement, Martha Mwaipaja na wengine wengi wanatarajiwa kushusha upako wa nguvu ndani ya Uwanja wa Taifa, Agosti 8, 2014 katika Tamasha la Matumaini. Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Upendo Nkone. Kwa mujibu wa mratibu wa tamasha hilo la kila mwaka, Luqman Maloto wasanii hao watafanya shoo ya kumtukuza...

 

9 years ago

Michuzi

WAIMBAJI NYIMBO ZA INJILI WAAOMBA WATANZANIA KUJITOKEZA KATIKA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI

 Mwimbaji  wa nyimbo za Injili Upendo Nkone (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo katika ofisi za  Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha kuombea amani ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama  kuhusiana na kushiriki katika tamasha la kuombea amani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu. Kulia ni Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu na kustoto ni Christophe Mwanganyira.Mwimbaji wa nyimbo za Injili John Lisu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani