JK, mabilionea wa dunia kupambana na malaria
RAIS Jakaya Kikwete ameombwa na amekubali kujiunga na kundi la watu mashuhuri duniani wakiwemo viongozi wa Afrika, matajiri wa Marekani na watu wengine mashuhuri katika kutafuta majawabu ya kufuta ugonjwa wa malaria duniani kwa kuanzia na Bara la Afrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog15 May
London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao
JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.
Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Wataalam: Elimu ya kutosha inahitajika kupambana na Malaria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1ygck9z1r4BvcVFm-sajrqEQ7cFmg7RjZSqWq8pRl1hgNBj69bAT9w014qi-S2bGDtZBtU4k9FZ8cpHOrgU631f3vU59zxzd/9072SimbaYanga.jpg)
MECHI YA SIMBA NA YANGA YAELIMISHA NAMNA YA KUPAMBANA NA MALARIA
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini
![Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0383.jpg)
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu...
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Dunia haijajiandaa kupambana na maradhi
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/U7Av-EcgIIw/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One
-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria
-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia
-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001
Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea