Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dunia haijajiandaa kupambana na maradhi

Rais wa Benki ya Dunia ametaadharisha Dunia akisema kuwa Dunia haijajiandaa kupambana na ugonjwa wa Ebola Afrika Magharibi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Raia wawili wa Iran wafariki dunia mjini Qom kwa maradhi ya virusi vya Corona

Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya nchini Iran, amethibitisha habari ya kufariki dunia watu wawili kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona mjini Qom nchini hapa.

Kiyanush Jahanpur aliyasema hayo jana Jumatano na kubainisha kwamba kufuatia ongezeko la matatizo ya kupumua lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuuni mjini Qom, uchunguzi wa vipimo ulithibitisha kesi mbili za maambukizi ya virusi vya Corona.  Ameongeza kwa kusema: "Kwa bahati mbaya...

 

9 years ago

Habarileo

JK, mabilionea wa dunia kupambana na malaria

RAIS Jakaya Kikwete ameombwa na amekubali kujiunga na kundi la watu mashuhuri duniani wakiwemo viongozi wa Afrika, matajiri wa Marekani na watu wengine mashuhuri katika kutafuta majawabu ya kufuta ugonjwa wa malaria duniani kwa kuanzia na Bara la Afrika.

 

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu...

 

10 years ago

GPL

MARADHI YA FIZI NA MENO

Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia.
Aina za maradhi ya fizi na dalili zake. Kupiga mswaki na kutunza meno siyo suala gumu na iwapo tutapiga mswaki ipasavyo pamoja na kutumia nyuzi kusafisha katikati ya meno, tunaweza kuzuia maradhi ya fizi na pia meno kuoza.
Maradhi ya fizi husababishwa na utando kwenye meno unaotengenezwa na bakteria, ute na chembechembe nyinginezo zinazoganda kwenye...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maradhi yamtenganisha na mumewe

LINDA Msoka (57), mkazi wa Mbezi Beach, alitelekezwa  na mume wake baada ya kuugua maradhi ya Kisukari na Presha. Msoka, aliyekuwa Mhasibu wa Hazina ambaye kwa sasa hawezi kuzungumza vizuri, ...

 

10 years ago

GPL

MARADHI YA FIZI NA MENO-2

Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia. Aina za maradhi ya fizi na dalili zake.Dalili za advanced periodontitis ni kuwa na harufu mbaya ya mdomo ambayo haiishi. Fizi kuvimba, kuwa nyekundu na laini. Dalili nyingine ni fizi kusogea mbali na meno, kuhisi maumivu wakati wa kutafuna na kupoteza hisia katika meno. Sababu za maradhi ya fizi.
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maradhi ya akili ni kero TZ

Tanzania, inasemekana kukabiliwa na uhaba wa wataalamu wa kuhudumia wagonjwa wa akili kutokana na idadi ya wagonjwa wenyewe

 

10 years ago

GPL

MARADHI YA FIZI NA MENO-4

Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii tunakuletea sehemu ya mwisho ya mada yetu ambapo leo tunaangalia kipengele hiki muhimu kilichopo hapa chini. JINSI YA KUPIGA MSWAKI
Kwanza kabisa tunashauriwa kupiga mswaki asubuhi na kabla ya kwenda kulala. Ikiwezekana piga mswaki baada ya kula chakula. Kama hauwezi, piga mswaki baada ya kula vyakula vya sukari. Tunapaswa kutumia mswaki laini. Ikiwa unahitaji usaidizi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani