Maradhi yamtenganisha na mumewe
LINDA Msoka (57), mkazi wa Mbezi Beach, alitelekezwa na mume wake baada ya kuugua maradhi ya Kisukari na Presha. Msoka, aliyekuwa Mhasibu wa Hazina ambaye kwa sasa hawezi kuzungumza vizuri, ...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWzhvdSEpCdPL*Ji3e8CkXEzTwGMZrCSfX5JxwYCejiFxbcSyHCl1wuMblXOKE*oAPrnmSRVMtqKv*bea6khdGD/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-2
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia. Aina za maradhi ya fizi na dalili zake.Dalili za advanced periodontitis ni kuwa na harufu mbaya ya mdomo ambayo haiishi. Fizi kuvimba, kuwa nyekundu na laini. Dalili nyingine ni fizi kusogea mbali na meno, kuhisi maumivu wakati wa kutafuna na kupoteza hisia katika meno. Sababu za maradhi ya fizi.
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwL0lvk9*SIPcr1IQBI4izzm2q3tPLCsQR2HbKxDhCjruepulb64enPW8gPRsFvbGh5dkFTyemigsIfoh00VrPJ2/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia.
Aina za maradhi ya fizi na dalili zake. Kupiga mswaki na kutunza meno siyo suala gumu na iwapo tutapiga mswaki ipasavyo pamoja na kutumia nyuzi kusafisha katikati ya meno, tunaweza kuzuia maradhi ya fizi na pia meno kuoza.
Maradhi ya fizi husababishwa na utando kwenye meno unaotengenezwa na bakteria, ute na chembechembe nyinginezo zinazoganda kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuvPLGOWP0gJ0ob1mSyIEaJF2W8vIoK45k17ZCNXw-1Xa90i-G*3J744DevngvEMJDNmB-nB0Mu-Ls7iIW5m88Ua/Cavidadbucal.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-4
Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii tunakuletea sehemu ya mwisho ya mada yetu ambapo leo tunaangalia kipengele hiki muhimu kilichopo hapa chini. JINSI YA KUPIGA MSWAKI
Kwanza kabisa tunashauriwa kupiga mswaki asubuhi na kabla ya kwenda kulala. Ikiwezekana piga mswaki baada ya kula chakula. Kama hauwezi, piga mswaki baada ya kula vyakula vya sukari. Tunapaswa kutumia mswaki laini. Ikiwa unahitaji usaidizi katika...
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Maradhi ya akili ni kero TZ
Tanzania, inasemekana kukabiliwa na uhaba wa wataalamu wa kuhudumia wagonjwa wa akili kutokana na idadi ya wagonjwa wenyewe
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Pua la kielektroniki latambua maradhi
Kunusa haja kubwa kwa kutumia pua la kielektroniki, kunaweza kusaidia kutambua viini vya Bacteria vinavyosababisha maradhi mabaya.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Maradhi ya ngozi yaenezwayo na virusi
Katika mwendelezo wa makala haya juu ya ngozi, najibu swali la dada Vicky Kombe aliyetaka kujua juu ya maradhi ya rubella na kama ni kweli yanaweza kuwa chanzo cha kushindwa kupata watoto.
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
80% wana maradhi ya tumbo Handeni
ASILIMIA 80 ya wagonjwa wanaolazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Handeni wanaugua homa ya matumbo. Maradhi hayo yanatokana na idadi kubwa ya wakazi wa wilaya hiyo kukosa vyoo hivyo kujisaidia...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Foleni yazua maradhi mapya
Wakati kukiwa na ongezeko kubwa la ununuzi wa magari na kusababisha idadi kubwa ya vyombo hivyo vya usafiri, foleni za magari nchini, hasa jijini Dar es Salaam, imefikia hatua ya kutisha huku ikisababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kiafya, ikiwamo magonjwa ya akili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania