Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MARADHI YA FIZI NA MENO

Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia.
Aina za maradhi ya fizi na dalili zake. Kupiga mswaki na kutunza meno siyo suala gumu na iwapo tutapiga mswaki ipasavyo pamoja na kutumia nyuzi kusafisha katikati ya meno, tunaweza kuzuia maradhi ya fizi na pia meno kuoza.
Maradhi ya fizi husababishwa na utando kwenye meno unaotengenezwa na bakteria, ute na chembechembe nyinginezo zinazoganda kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MARADHI YA FIZI NA MENO-2

Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia. Aina za maradhi ya fizi na dalili zake.Dalili za advanced periodontitis ni kuwa na harufu mbaya ya mdomo ambayo haiishi. Fizi kuvimba, kuwa nyekundu na laini. Dalili nyingine ni fizi kusogea mbali na meno, kuhisi maumivu wakati wa kutafuna na kupoteza hisia katika meno. Sababu za maradhi ya fizi.
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe katika...

 

10 years ago

GPL

MARADHI YA FIZI NA MENO-4

Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii tunakuletea sehemu ya mwisho ya mada yetu ambapo leo tunaangalia kipengele hiki muhimu kilichopo hapa chini. JINSI YA KUPIGA MSWAKI
Kwanza kabisa tunashauriwa kupiga mswaki asubuhi na kabla ya kwenda kulala. Ikiwezekana piga mswaki baada ya kula chakula. Kama hauwezi, piga mswaki baada ya kula vyakula vya sukari. Tunapaswa kutumia mswaki laini. Ikiwa unahitaji usaidizi katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno

Matumizi ya vijiti vya kuchokoa meno maarufu kama ‘toothpick’ ni namna nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya nyama, mboga za majani au matunda yaliyonasa katika meno badala ya kufanya hivyo kwa kidole ama kitu kingine.

 

11 years ago

Mwananchi

Mdalasini husaidia kulinda meno, fizi dhidi ya bakteria

Wengi tumekuwa tukitumia mdalasini kama mojawapo ya kiungo kinachosaidia kuweka harufu nzuri kwenye chai na chakula.

 

11 years ago

Michuzi

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba. Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...

 

11 years ago

GPL

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maradhi yamtenganisha na mumewe

LINDA Msoka (57), mkazi wa Mbezi Beach, alitelekezwa  na mume wake baada ya kuugua maradhi ya Kisukari na Presha. Msoka, aliyekuwa Mhasibu wa Hazina ambaye kwa sasa hawezi kuzungumza vizuri, ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maradhi ya akili ni kero TZ

Tanzania, inasemekana kukabiliwa na uhaba wa wataalamu wa kuhudumia wagonjwa wa akili kutokana na idadi ya wagonjwa wenyewe

 

11 years ago

Mwananchi

Foleni yazua maradhi mapya

Wakati kukiwa na ongezeko kubwa la ununuzi wa magari na kusababisha idadi kubwa ya vyombo hivyo vya usafiri, foleni za magari nchini, hasa jijini Dar es Salaam, imefikia hatua ya kutisha huku ikisababisha madhara makubwa kiuchumi, kijamii na kiafya, ikiwamo magonjwa ya akili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani