Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno
Matumizi ya vijiti vya kuchokoa meno maarufu kama ‘toothpick’ ni namna nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya nyama, mboga za majani au matunda yaliyonasa katika meno badala ya kufanya hivyo kwa kidole ama kitu kingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuvPLGOWP0gJ0ob1mSyIEaJF2W8vIoK45k17ZCNXw-1Xa90i-G*3J744DevngvEMJDNmB-nB0Mu-Ls7iIW5m88Ua/Cavidadbucal.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-4
Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii tunakuletea sehemu ya mwisho ya mada yetu ambapo leo tunaangalia kipengele hiki muhimu kilichopo hapa chini. JINSI YA KUPIGA MSWAKI
Kwanza kabisa tunashauriwa kupiga mswaki asubuhi na kabla ya kwenda kulala. Ikiwezekana piga mswaki baada ya kula chakula. Kama hauwezi, piga mswaki baada ya kula vyakula vya sukari. Tunapaswa kutumia mswaki laini. Ikiwa unahitaji usaidizi katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWzhvdSEpCdPL*Ji3e8CkXEzTwGMZrCSfX5JxwYCejiFxbcSyHCl1wuMblXOKE*oAPrnmSRVMtqKv*bea6khdGD/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-2
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia. Aina za maradhi ya fizi na dalili zake.Dalili za advanced periodontitis ni kuwa na harufu mbaya ya mdomo ambayo haiishi. Fizi kuvimba, kuwa nyekundu na laini. Dalili nyingine ni fizi kusogea mbali na meno, kuhisi maumivu wakati wa kutafuna na kupoteza hisia katika meno. Sababu za maradhi ya fizi.
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwL0lvk9*SIPcr1IQBI4izzm2q3tPLCsQR2HbKxDhCjruepulb64enPW8gPRsFvbGh5dkFTyemigsIfoh00VrPJ2/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia.
Aina za maradhi ya fizi na dalili zake. Kupiga mswaki na kutunza meno siyo suala gumu na iwapo tutapiga mswaki ipasavyo pamoja na kutumia nyuzi kusafisha katikati ya meno, tunaweza kuzuia maradhi ya fizi na pia meno kuoza.
Maradhi ya fizi husababishwa na utando kwenye meno unaotengenezwa na bakteria, ute na chembechembe nyinginezo zinazoganda kwenye...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Mdalasini husaidia kulinda meno, fizi dhidi ya bakteria
Wengi tumekuwa tukitumia mdalasini kama mojawapo ya kiungo kinachosaidia kuweka harufu nzuri kwenye chai na chakula.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-chaPuUbmfNw/U3RZ9DrmYEI/AAAAAAAFhxg/RMJ66Jk1TZg/s72-c/unnamed+(1).jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
Jeshi la Polisi Kanda Maalum limefanikiwa kukamata vipande zaidi ya ishirini (20) vinavyodhaniwa kuwa ni meno ya Tembo vilivyokuwa vimehifadhiwa nadni ya mfuko maarufu kwa jina la kiroba.
Tukio hili lilitokea tarehe 30/04/2014 katika kiwanda cha Nondo Steel Master kilichopo eneo la Mbozi Road (W) kipolisi Chang’ombe (M) kipolisi Temeke baada ya Polisi kupokea taarifa kuwa katika kiwanda hicho kuna mfuko wa kiroba wenye bidhaa hiyo umefichwa. Baada ya taarifa hizo askari kikosi cha Upelelezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYlv9Z3nXF3jwBvVRZTIeDXsbZR27HwEmr2VG64XQCtosSAHVNaI-mOkEM5ZxWRHLfrr4bzgmBRHqjwdeLHsx36o/unnamed1.jpg?width=650)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akikagua gari linalotuhumiwa kutumika.…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GzD1rkus9UM/Uz1AZIkFIiI/AAAAAAAFYIs/Uoc-Absc8mw/s72-c/m1.jpg)
meno tena!
![](http://4.bp.blogspot.com/-GzD1rkus9UM/Uz1AZIkFIiI/AAAAAAAFYIs/Uoc-Absc8mw/s1600/m1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EiNUO9VzTGo/Uz1AZEpg4vI/AAAAAAAFYIw/t0mBmuhQHpg/s1600/m2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wanaswa na meno ya tembo 53
WATU sita wanaodhaniwa kuwa ni majangili wamekamatwa na meno ya tembo 53 yenye kilo 169.7, wakiwa na silaha aina ya SMG yenye magazine tatu kwenye Kijiji cha Kiomboi, wilayani Manyoni,...
10 years ago
Vijimambo07 Nov
PATA HUDUMA YA MENO 50% OFF
DR. TAALIB, NI MIONGONI MWA WANADIASPORA ALIYOGUSWA KUSAIDIA JAMII ZA WAHAMIAJI KUPATA HUDUMA YA MENO KWA BEI NAFUU.
DR. TAALIB AMEAHIDI KUTOA HUDUMA HII
50% OFF KWA KILA MTANZANIA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania