Mdalasini husaidia kulinda meno, fizi dhidi ya bakteria
Wengi tumekuwa tukitumia mdalasini kama mojawapo ya kiungo kinachosaidia kuweka harufu nzuri kwenye chai na chakula.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Vichokoa meno vizuri ila vyaweza kukuathiri fizi, meno
Matumizi ya vijiti vya kuchokoa meno maarufu kama ‘toothpick’ ni namna nyepesi zaidi ya kuondoa mabaki ya nyama, mboga za majani au matunda yaliyonasa katika meno badala ya kufanya hivyo kwa kidole ama kitu kingine.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGuvPLGOWP0gJ0ob1mSyIEaJF2W8vIoK45k17ZCNXw-1Xa90i-G*3J744DevngvEMJDNmB-nB0Mu-Ls7iIW5m88Ua/Cavidadbucal.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-4
Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji wa safu hii tunakuletea sehemu ya mwisho ya mada yetu ambapo leo tunaangalia kipengele hiki muhimu kilichopo hapa chini. JINSI YA KUPIGA MSWAKI
Kwanza kabisa tunashauriwa kupiga mswaki asubuhi na kabla ya kwenda kulala. Ikiwezekana piga mswaki baada ya kula chakula. Kama hauwezi, piga mswaki baada ya kula vyakula vya sukari. Tunapaswa kutumia mswaki laini. Ikiwa unahitaji usaidizi katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwL0lvk9*SIPcr1IQBI4izzm2q3tPLCsQR2HbKxDhCjruepulb64enPW8gPRsFvbGh5dkFTyemigsIfoh00VrPJ2/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia.
Aina za maradhi ya fizi na dalili zake. Kupiga mswaki na kutunza meno siyo suala gumu na iwapo tutapiga mswaki ipasavyo pamoja na kutumia nyuzi kusafisha katikati ya meno, tunaweza kuzuia maradhi ya fizi na pia meno kuoza.
Maradhi ya fizi husababishwa na utando kwenye meno unaotengenezwa na bakteria, ute na chembechembe nyinginezo zinazoganda kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykWzhvdSEpCdPL*Ji3e8CkXEzTwGMZrCSfX5JxwYCejiFxbcSyHCl1wuMblXOKE*oAPrnmSRVMtqKv*bea6khdGD/rootcanaltherapy.jpg?width=650)
MARADHI YA FIZI NA MENO-2
Leo nitazungumzia maradhi mbalimbali ya fizi na meno na namna ya kuyazuia. Aina za maradhi ya fizi na dalili zake.Dalili za advanced periodontitis ni kuwa na harufu mbaya ya mdomo ambayo haiishi. Fizi kuvimba, kuwa nyekundu na laini. Dalili nyingine ni fizi kusogea mbali na meno, kuhisi maumivu wakati wa kutafuna na kupoteza hisia katika meno. Sababu za maradhi ya fizi.
Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kumfanya mtu awe katika...
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Mayweather kulinda meno kwa dola elfu 25
Mayweather atatumia kifaa cha kulinda meno chenye gharama ya dola za kimarekani elfu ishirini na tano.
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Viongozi wa serikali za mitaa wanapaswa kulinda watoto dhidi ya ndoa za utotoni (2)
WIKI iliyopita katika tafakuri yetu hii, tulianza kujadili matokeo ya kukithiri kwa mimba za utotoni kama janga la kitaifa ambalo linasababishwa na kuwepo kwa mifumo ya kiutawala ambayo haijali na kuzingatia...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s72-c/w.jpg)
WAMWANDIKIA BARUA YA WAZI RAIS DKT MAGUFULI ACHUKUE HATUA DHIDI YA UJANGILI WA BIASHARA HARAMU YA MENO YA TEMBO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-rbZ7AdGlfG8/VkRWQVDZFfI/AAAAAAAIFaA/2x3ds2STkww/s640/w.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Bamia husaidia wenye vidonda vya tumbo
Unafahamu kuwa kwa kula bamia unaweza ukawa umejiondoa katika hatari ya kupata maradhi mbalimbali?
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y61k1BZ_92E/VfZ8mhPEvZI/AAAAAAAAT3I/n1I02EQB9eQ/s72-c/chunusi.jpg)
MCHANGANYIKO WA ASALI NA MDALASINI KATIKA KUTIBU CHUNUSI SUGU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y61k1BZ_92E/VfZ8mhPEvZI/AAAAAAAAT3I/n1I02EQB9eQ/s640/chunusi.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-sLdLxbEBjQo/VfZ8m3riaoI/AAAAAAAAT3M/rU3lTiKPZNM/s640/chunusi12.jpg)
1. Chukua vijiko vitatu(3) vya chai vya ASALI 2. Chukua nusu kijiko cha chai cha MDALASINI WA UNGA safi 3....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania