Raia wawili wa Iran wafariki dunia mjini Qom kwa maradhi ya virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Mkuu wa Kituo cha Mawasiliano ya Umma na Upashaji Habari cha Wizara ya Afya nchini Iran, amethibitisha habari ya kufariki dunia watu wawili kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona mjini Qom nchini hapa.
Kiyanush Jahanpur aliyasema hayo jana Jumatano na kubainisha kwamba kufuatia ongezeko la matatizo ya kupumua lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuuni mjini Qom, uchunguzi wa vipimo ulithibitisha kesi mbili za maambukizi ya virusi vya Corona. Ameongeza kwa kusema: "Kwa bahati mbaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Wagonjwa 23 wa corona wathibitishwa Zanzibar, wawili wafariki
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Virusi vya corona: Jinsi virusi vya corona vinavyobadilisha tabia za raia wa Sierre Leone
5 years ago
BBCSwahili01 May
Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili28 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi Iran inavyokabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
5 years ago
BBCSwahili23 Apr
Virusi vya Corona: Paka wawili wa kufugwa waambukizwa corona New York
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Waathirika 291 wa virusi vya Corona wapona nchini Iran
![](https://1.bp.blogspot.com/-FFMTLtFRsvg/Xl1oCvQ5CBI/AAAAAAALgek/ENCl2BZvqX0iasmUN5-Oq3hpGZJkGMKogCLcBGAsYHQ/s640/4bv6fba7fc89ba1lyf6_800C450.jpg)
Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran imetangaza kwamba hadi sasa watu 291 waliokuwa wameathirika na virusi vya Corona wamepona na kuruhusiwa kutoka hospitalini.
Alireza Raeesi, Naibu Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Udaktari nchini Iran ameyasema hayo leo akiongea na waandishi wa habari. Ameashiria kuwa watu 1,501 waathiriwa wa virusi vya Corona nchini Iran na kusema kwa bahati mbaya hadi sasa watu 66 wamefariki dunia kutokana na virusi hivyo.
Virusi vya Corona viliibuka...