Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Virusi vya corona: Wagonjwa 23 wa corona wathibitishwa Zanzibar, wawili wafariki

Serikali ya Zanzibar imethibitisha kuwepo kwa wagonjwa wapya 23 wa virusi vya corona na vifo vya watu wawili.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa wa corona 4 wafariki huku 15 wakipata maambukizi Kenya

Kenya imeripoti jumla ya visa 411 vya maambukizi ya virusi vya corona Ijumaa, kwa mujibu wa taarifa za hivi punde zilizotangazwa na Waziri wa Afya wan chi hiyo Bwana Mutahi Kagwe

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa 12 wapya wathibitishwa Kenya

watu walioambukizwa nchini kenya wamefikia 396

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wagonjwa 14 wapya wathibitishwa Tanzania

Wizara ya afya nchini Tanzania imetangaza kuwepo kwa wagonjwa 14 wapya wa corona nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa 9 wapya wathibitishwa Kenya

Rais Kenyatta amethibitisha kwamba uwezo wa kupima virusi hivyo unaendelea kuimarika na kwamba upimaji wa watu wengi kwa wakati mmoja utaanza katika maeneo yaliyolengwa kwanza kabla ya kupelekwa hadi maeneo mengine.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa wapya 15 wathibitishwa Kenya

Wagonjwa 11 ni raia wa Kenya na wanne ni raia wa kigeni ambao walikuwa miongoni mwa watu 545 waliofanyiwa vipimo katika kipindi cha saa 24 zilizopita.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wagonjwa wapya wanane wathibitishwa Kenya, Tanzania wanne

Shule na taasisi za elimu kuendelea kufungwa Tanzania mpaka itakapotolewa taarifa mpya.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa

Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanaume wawili wathibitishwa kufa kutokana na Covid-19 Tanzania

Kulingana na taarifa ya Wizara ya afya kuhusu Ugonjwa wa virusi vya corona nchini Tanzania wanaume hao wote wawili waliokufa ni raia wa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona:Wagonjwa wapya 15 wa corona waripotiwa Zanzibar

Wizara ya Afya kisiwani Zanzibar imethibitisha kuwa na ongezeko la wagonjwa wapya 15 wa virusi vya corona na kufikia wagonjwa 98 waliothibitika kuambukizwa visiwani humo kutoka wagonjwa 83 ambao walitolewa taarifa tarehe 22 April 2020.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani