Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake
Mwanasheria Stella Morris anasema wawili hao walianza mapenzi yao mwaka 2015 wakati Asange akiwa mafichoni kwenye ubalozi wa Ecuador jijini London.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Virusi vya corona: Mikutano mikubwa ya Kampeni za uchaguzi yaibua hofu ya maambukizi ya virusi vya corona
Picha zinazoonyesha mikusanyiko ya maelfu ya watu waliokusanyika Jumatatu kwa uzinduzi wa mikutano ya kampeni za kisiasa nchini zimeibua wasi wasi mkubwa ya kuongezeka kwa maambukizi ya virusi vya corona kabla ya taifa hilo kufanya uchaguzi unaotarajiwa tarehe 20 Mei mwaka huu.
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
UONGOZI wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya kupitia kitengo cha Ustawi wa jamii umemtafutia kituo cha kulelea watoto wa mitaani cha Nuru Ophans Centre Mama aliyejifungua mapacha wanne na kubakia wawili baada ya kuugua Nimonia kwa ajili ya uangalizi wa karibu.
Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Hospitali hiyo kumfuata mama mwenye watoto hao Aida Nakawala(25) pamoja na mapacha wake waliobaki kutoka kijijini kwao Chiwanda Wilaya ya Momba mkoani hapa na kuwalaza hospitalini hapo kwa uangalizi...
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Mfahamu mwanamke aliyebaini virusi vya corona kabla ya Covid-19
June Almeida alikuwa bingwa wa ugunduzi wa virusi, lakini alikuwa amesahaulika mpaka mlipuko wa corona ulipoibuka ndio akakumbukwa.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Mazishi ya usiku na hofu ya corona Tanzania
Baadhi wana hofu kuwa mamlaka nchini Tanzania halichukulii janga kwa uzito wake.
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona
Mlipuko wa maambukizi ya corona umewafanya watu kujihisi uoga na wasiwasi.
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vK-RlOM7S2U/XoSGNltLRTI/AAAAAAALlyM/N3Icm0e6-9c_f5iONVKgKusIUPbGrySHQCLcBGAsYHQ/s72-c/TITO%2BMAGOTI.jpg)
OFISA LHRC ANAYESHTAKIWA KWA UTAKATISHAJI FEDHA ASEMA VIRUSI VYA CORONA VIMESABABISHA MAHABUSU KUISHI KWA HOFU KUBWA MAGEREZANI
Na Karama Kenyunko,Michuzi TV
MSHTAKIWA Tito Magoti ambaye ni Ofisa wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), amedai licha ya Serikali kupunguza msongamano wa watu katika maeneo mbalimbali nchini ili kuzuia kusambaa kwa virusi vya Corona, mahabusu wanaishi kwa hofu kubwa kutokana na mlundikano uliopo huko gerezani.
Magoti anashtakiwa pamoja na Theodory Giyani (36) ambaye ni mtaalamu wa Tehama katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Wote kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Raia wawili wa Iran wafariki dunia mjini Qom kwa maradhi ya virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-_WECWna--e4/Xk4UsU5cUmI/AAAAAAALeag/jcPQsMRjQIcCaeJeSMUF_yeFWqRaSF7GACLcBGAsYHQ/s640/4bv6a1aaf94a081lq01_800C450.jpg)
Kiyanush Jahanpur aliyasema hayo jana Jumatano na kubainisha kwamba kufuatia ongezeko la matatizo ya kupumua lililoshuhudiwa katika siku za hivi karibuuni mjini Qom, uchunguzi wa vipimo ulithibitisha kesi mbili za maambukizi ya virusi vya Corona. Ameongeza kwa kusema: "Kwa bahati mbaya...
5 years ago
BBCSwahili19 Apr
Virusi vya corona: Wagonjwa 23 wa corona wathibitishwa Zanzibar, wawili wafariki
Serikali ya Zanzibar imethibitisha kuwepo kwa wagonjwa wapya 23 wa virusi vya corona na vifo vya watu wawili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania