London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao
JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.
Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani
10 years ago
Habarileo01 Oct
JK, mabilionea wa dunia kupambana na malaria
RAIS Jakaya Kikwete ameombwa na amekubali kujiunga na kundi la watu mashuhuri duniani wakiwemo viongozi wa Afrika, matajiri wa Marekani na watu wengine mashuhuri katika kutafuta majawabu ya kufuta ugonjwa wa malaria duniani kwa kuanzia na Bara la Afrika.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea
11 years ago
Michuzi02 Apr
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Mabilionea wapya watatoka sekta ya umeme wa jua
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kylie Jenner: Forbes yamuondoa kwenye orodha ya mabilionea
10 years ago
BBCSwahili30 May
Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani