Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow

london-690x388

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao

JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.

Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Viruis vya Corona: New York yarekodi wagonjwa wengi zaidi duniani

Picha za mazishi ya pamoja ya wagonjwa waliofariki kutokana na virusi vya corona zaonekana katika mji mkuu wa New York

 

10 years ago

Habarileo

JK, mabilionea wa dunia kupambana na malaria

RAIS Jakaya Kikwete ameombwa na amekubali kujiunga na kundi la watu mashuhuri duniani wakiwemo viongozi wa Afrika, matajiri wa Marekani na watu wengine mashuhuri katika kutafuta majawabu ya kufuta ugonjwa wa malaria duniani kwa kuanzia na Bara la Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mji wa dhahabu unaongoza kwa mabilionea

Mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini ndio mji ulio na idadi kubwa zaidi ya watu tajiri zaidi au mabilionea barani Afrika

 

9 years ago

Mwananchi

Mabilionea wapya watatoka sekta ya umeme wa jua

Takriban mika sita iliyopita tajiri anayeongoza duniani, Bill Gates aliulizwa swali na wanafunzi wa chuo kimoja nchini Marekani.

 

11 years ago

Mwananchi

Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana

Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu ya huduma za meseji ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni 19 (TSh 30.9 trilioni) katika taarifa iliyotoka mapema leo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kylie Jenner: Forbes yamuondoa kwenye orodha ya mabilionea

Jarida hilo linasema familia ya Kardashian ilipotosha vyombo vya habari kuhusu thamani ya biashara ya vipodozi ya Jenner.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ujerumani ina idadi ndogo zaidi ya watoto duniani

Idadi ya watoto wanaozaliwa nchini Ujerumani imepungua zaidi ya mataifa yote duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani