Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana

Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu ya huduma za meseji ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni 19 (TSh 30.9 trilioni) katika taarifa iliyotoka mapema leo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP

KAMA ulikuwa hufahamu, habari kuu katika ulimwengu wa Teknohama kwa siku ya leo ni Facebook kuinunua Whatsapp kwa bei ya dola bilioni 19.  Ununuzi huo ni wa programu pekee na siyo kampuni ingawa wafanyakazi wa Whatsapp watajiunga na timu ya Facebook moja kwa moja na kazi za Whatsapp zitaendelea kubaki kama zilivyo, alieleza Jan Koum ambaye ni muanzilishi wa Whatsapp. Kwa wasiofahamu, Whatsapp ni moja ya programu za simu za...

 

11 years ago

Dewji Blog

London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow

london-690x388

Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao

JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.

Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yasema itainunua WhatsApp

Facebook imesema kuwa itanunua mtandao wa mawasiliano ya ujumbe mfupi wa simu WhatsApp kwa kima cha dola bilioni kumi na sita.

 

9 years ago

Michuzi

DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP


Idhaa ya kiswahili ya DW hapa nchini inapenda kuwataarifu kuwa Wapendwa wake na watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla.
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.

 

11 years ago

TheCitizen

Facebook offers WhatsApp $19bn deal

Facebook is betting huge on mobile with an eye-popping cash-and-stock deal worth up to $19 billion for Internet Age smartphone messaging service WhatsApp.

 

11 years ago

Mwananchi

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni

Kampuni ya Mtandao wa Jamii ya Facebook imesema itanunua mtandao wa mawasiliano wa ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa Dola 19 bilioni za Marekani (Sh1.36 trilioni), ili kuimarisha umaarufu wake hasa miongoni mwa vijana.

 

11 years ago

TheCitizen

Facebook bets on #mobile, buys #WhatsApp for $19 billion

Facebook is betting huge on mobile with an eye-popping cash-and-stock deal worth up to $19 billion (TSh 30.9 trillion) for Internet Age smartphone messaging service WhatsApp.

 

5 years ago

BBC

Burundi election: Facebook, Twitter, WhatsApp blocked

Voters choose a new president as the current leader moves to a new elevated role of "supreme guide".

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: Whatsapp yanunuliwa na Facebook, nini tutegemee?

Kama ulikuwa haufahamu, habari kuu katika ulimwengu wa Teknohama kwa siku ya leo ni Facebook kuinunua Whatsapp kwa bei ya dola bilioni 19.   Nunuzi hilo ni la programu pekee na siyo kampuni ingawa wafanyakazi wa whatsapp watajiunga na timu ya Facebook moja kwa moja, mission za whatsapp zitaendelea kubaki kama zilivyo, alieleza Jan Koum ambaye ni muanzilishi wa whatsapp.
Kwa wasio fahamu, whatsapp ni moja ya programu ya simu za mkononi inayokuwezesha kutuma ujumbe wa simu kupitia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani