Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana
Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu ya huduma za meseji ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni 19 (TSh 30.9 trilioni) katika taarifa iliyotoka mapema leo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIEKmW9cZDZ8BfK0cjT9Y12S5clOa9rj-iOkFE*lbsTW6uITYRrGsbvQSFEtlXT5db7UQpYouQzLegHQJsSPTVaL/Whatsapp.jpg?width=600)
FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP
11 years ago
Dewji Blog15 May
London ndio jiji jipya la mabilionea duniani, ina mabilionea wengi zaidi ya New york na Moscow
Na Damas Makangale, Moblog Tanzania kwa Msaada wa Mtandao
JIJI la London limekuwa ndio nyumbani kwa mabilionea wakubwa kabisa duniani, kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na gazeti la Sunday Times. Tafiti inasema kwamba London in wakazi 72 ambao mali na utajiri wao ni zaidi ya dola 1.6 bilioni, zaidi ya Moscow (48) au New York (43) na hii ni mara ya kwanza kwa jiji hilo kuwa na mabilionea zaidi ya 100.
Mji mkuu wa Uingereza una mabilionea 104 (thamani ya utajiri wao jumla ya paundi 310...
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Facebook yasema itainunua WhatsApp
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s72-c/y0KrpoL8.png)
DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s200/y0KrpoL8.png)
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.
11 years ago
TheCitizen21 Feb
Facebook offers WhatsApp $19bn deal
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni
11 years ago
TheCitizen20 Feb
Facebook bets on #mobile, buys #WhatsApp for $19 billion
5 years ago
BBC20 May
Burundi election: Facebook, Twitter, WhatsApp blocked
11 years ago
Michuzi20 Feb
NEWS ALERT: Whatsapp yanunuliwa na Facebook, nini tutegemee?
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zaYdvBdpypv2_I2prLOl1eB54m1Nul2Ryo-1F1Ed4PDzqwNIRn9VsE2UYIVn1NSPzTD8QesnNCmM5rlnRPIywAPaHllMni0Q6Fqhc5L0Iayv5PEjowS_tleIh1nZEXHgodPNYz3DOcZCuwMF=s0-d-e1-ft#http://mjengwablog.com/images/banners/whatsapp-dudumizi-website-design-in-tanzania.jpg)
Kwa wasio fahamu, whatsapp ni moja ya programu ya simu za mkononi inayokuwezesha kutuma ujumbe wa simu kupitia kwenye...