FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP
![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIEKmW9cZDZ8BfK0cjT9Y12S5clOa9rj-iOkFE*lbsTW6uITYRrGsbvQSFEtlXT5db7UQpYouQzLegHQJsSPTVaL/Whatsapp.jpg?width=600)
KAMA ulikuwa hufahamu, habari kuu katika ulimwengu wa Teknohama kwa siku ya leo ni Facebook kuinunua Whatsapp kwa bei ya dola bilioni 19. Ununuzi huo ni wa programu pekee na siyo kampuni ingawa wafanyakazi wa Whatsapp watajiunga na timu ya Facebook moja kwa moja na kazi za Whatsapp zitaendelea kubaki kama zilivyo, alieleza Jan Koum ambaye ni muanzilishi wa Whatsapp. Kwa wasiofahamu, Whatsapp ni moja ya programu za simu za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Facebook yasema itainunua WhatsApp
11 years ago
TheCitizen21 Feb
Facebook offers WhatsApp $19bn deal
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s72-c/y0KrpoL8.png)
DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s200/y0KrpoL8.png)
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.
11 years ago
TheCitizen20 Feb
Facebook bets on #mobile, buys #WhatsApp for $19 billion
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni
5 years ago
BBC20 May
Burundi election: Facebook, Twitter, WhatsApp blocked
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana
11 years ago
Michuzi20 Feb
NEWS ALERT: Whatsapp yanunuliwa na Facebook, nini tutegemee?
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zaYdvBdpypv2_I2prLOl1eB54m1Nul2Ryo-1F1Ed4PDzqwNIRn9VsE2UYIVn1NSPzTD8QesnNCmM5rlnRPIywAPaHllMni0Q6Fqhc5L0Iayv5PEjowS_tleIh1nZEXHgodPNYz3DOcZCuwMF=s0-d-e1-ft#http://mjengwablog.com/images/banners/whatsapp-dudumizi-website-design-in-tanzania.jpg)
Kwa wasio fahamu, whatsapp ni moja ya programu ya simu za mkononi inayokuwezesha kutuma ujumbe wa simu kupitia kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CghcWl8TFok/UwhwpBTUjsI/AAAAAAAAGvk/bk3XXzsgZIg/s72-c/facebook-beli-whatsapp-.jpg)
DAKIKA 90 ZA DUNIA: Kwanini Facebook imetumia dola bilioni 19 kununua WhatsApp?
![](http://2.bp.blogspot.com/-CghcWl8TFok/UwhwpBTUjsI/AAAAAAAAGvk/bk3XXzsgZIg/s1600/facebook-beli-whatsapp-.jpg)