Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAKIKA 90 ZA DUNIA: Kwanini Facebook imetumia dola bilioni 19 kununua WhatsApp?

Photo: Mobile88.com Kama wewe ni mmoja wa wanaotumia njia ya mawasiliano iliyojipatia umaarufu ya WhatsApp, basi ujue kuwa nawe ni miongoni mwa wateja takribani nusu bilioni walioufanya mtandao huo kuwa maarufu zaidi duniani kwa kipindi kifupi tu. Ni umaarufu huu uliofanya kampuni kubwa ya mawasiliano ya Facebook wiki hii kuona umuhimu wa kutumia dola za kimarekani bilioni 19 kununua WhatsApp. Lakini kwanini kampuni itumie kiasi hicho kikubwa kwa kampuni kama hii? Hii ni sehemu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima

IMG_5996

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.

IMG_6007

Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni

Kampuni ya Mtandao wa Jamii ya Facebook imesema itanunua mtandao wa mawasiliano wa ujumbe mfupi wa WhatsApp kwa Dola 19 bilioni za Marekani (Sh1.36 trilioni), ili kuimarisha umaarufu wake hasa miongoni mwa vijana.

 

11 years ago

GPL

FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP

KAMA ulikuwa hufahamu, habari kuu katika ulimwengu wa Teknohama kwa siku ya leo ni Facebook kuinunua Whatsapp kwa bei ya dola bilioni 19.  Ununuzi huo ni wa programu pekee na siyo kampuni ingawa wafanyakazi wa Whatsapp watajiunga na timu ya Facebook moja kwa moja na kazi za Whatsapp zitaendelea kubaki kama zilivyo, alieleza Jan Koum ambaye ni muanzilishi wa Whatsapp. Kwa wasiofahamu, Whatsapp ni moja ya programu za simu za...

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook yasema itainunua WhatsApp

Facebook imesema kuwa itanunua mtandao wa mawasiliano ya ujumbe mfupi wa simu WhatsApp kwa kima cha dola bilioni kumi na sita.

 

11 years ago

TheCitizen

Facebook offers WhatsApp $19bn deal

Facebook is betting huge on mobile with an eye-popping cash-and-stock deal worth up to $19 billion for Internet Age smartphone messaging service WhatsApp.

 

9 years ago

Michuzi

DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP


Idhaa ya kiswahili ya DW hapa nchini inapenda kuwataarifu kuwa Wapendwa wake na watumiaji wa ukurasa wetu wa Facebook na wasikilizaji kwa jumla.
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.

 

11 years ago

TheCitizen

Facebook bets on #mobile, buys #WhatsApp for $19 billion

Facebook is betting huge on mobile with an eye-popping cash-and-stock deal worth up to $19 billion (TSh 30.9 trillion) for Internet Age smartphone messaging service WhatsApp.

 

5 years ago

BBC

Burundi election: Facebook, Twitter, WhatsApp blocked

Voters choose a new president as the current leader moves to a new elevated role of "supreme guide".

 

11 years ago

Mwananchi

Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana

Mtandao wa kijamii wa Facebook umenunua programu ya huduma za meseji ya WhatsApp kwa dola za marekani bilioni 19 (TSh 30.9 trilioni) katika taarifa iliyotoka mapema leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani