DAKIKA 90 ZA DUNIA: Kwanini Facebook imetumia dola bilioni 19 kununua WhatsApp?
![](http://2.bp.blogspot.com/-CghcWl8TFok/UwhwpBTUjsI/AAAAAAAAGvk/bk3XXzsgZIg/s72-c/facebook-beli-whatsapp-.jpg)
Photo: Mobile88.com
Kama wewe ni mmoja wa wanaotumia njia ya mawasiliano iliyojipatia umaarufu ya WhatsApp, basi ujue kuwa nawe ni miongoni mwa wateja takribani nusu bilioni walioufanya mtandao huo kuwa maarufu zaidi duniani kwa kipindi kifupi tu.
Ni umaarufu huu uliofanya kampuni kubwa ya mawasiliano ya Facebook wiki hii kuona umuhimu wa kutumia dola za kimarekani bilioni 19 kununua WhatsApp.
Lakini kwanini kampuni itumie kiasi hicho kikubwa kwa kampuni kama hii?
Hii ni sehemu ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...
11 years ago
Mwananchi21 Feb
Facebook kununua WhatsApp kwa Sh1.36 trilioni
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIEKmW9cZDZ8BfK0cjT9Y12S5clOa9rj-iOkFE*lbsTW6uITYRrGsbvQSFEtlXT5db7UQpYouQzLegHQJsSPTVaL/Whatsapp.jpg?width=600)
FACEBOOK KUINUNUA WHATSAPP
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Facebook yasema itainunua WhatsApp
11 years ago
TheCitizen21 Feb
Facebook offers WhatsApp $19bn deal
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s72-c/y0KrpoL8.png)
DW YAKANUSHA UJUMBE UNAOSAMBAA FACEBOOK NA WHATSAPP
![](http://1.bp.blogspot.com/-Tp0ASyzxAJo/VhYZuuybTuI/AAAAAAAH9jQ/N8fmWjaXhSc/s200/y0KrpoL8.png)
Kuna ujumbe unaosambazwa kwa njia wa Whatsapp katika mitandao ya kijamii kwamba DW inakusanya maoni kuhusu wagombea wawili wakuu wa uchaguzi wa Tanzania, John Magufuli wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Tungependa kuwajulisha hatufanyi utafiti wowote wa maoni kuhusu wagombea hao.
11 years ago
TheCitizen20 Feb
Facebook bets on #mobile, buys #WhatsApp for $19 billion
5 years ago
BBC20 May
Burundi election: Facebook, Twitter, WhatsApp blocked
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Dili la Facebook, WhatsApp lilivyotengeneza mabilionea vijana