Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Malaria nchini kubaki historia?
UGONJWA wa malaria ndio unaoua watu wengi kuliko ugonjwa mwingine nchini. Kundi lililoathirika zaidi na ugonjwa huo ni wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano. Malaria ni janga linalostahili...
11 years ago
Habarileo08 Jun
Malaria Zanzibar kuwa historia
WIZARA ya Afya Zanzibar, imezindua ugawaji wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha ugonjwa wa malaria unatokomezwa Zanzibar.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WKyM3IlQ0Lo/VXhgJiWEEDI/AAAAAAAHehE/ENJaSUJ9Q_8/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE KUWA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SIKU YA ALBINO ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo,Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Felix Ntibenda alisema wamepata fursa ya kuwa wenyeji kutokana na kutokua na matukio ya ukatili wa watu wenye ulemavu wa ngozi kutokana na takwimu za mkoa wapo Albino 199.
“Mkoa una jumla ya watu wenye...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-a6810WiT-jg/VhRYaIsJaFI/AAAAAAAAJxk/8oiF1Sew8iU/s72-c/Jakaya-Kikwete2.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akihutubia Bunge nchini Kenya
![](http://2.bp.blogspot.com/-a6810WiT-jg/VhRYaIsJaFI/AAAAAAAAJxk/8oiF1Sew8iU/s640/Jakaya-Kikwete2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pPk-GXrSMhY/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Apr
MEH. JAKAYA KIKWETE AMTEUA BALOZI RAJABU HASSAN GAMALIA KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI BURUNDI
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/56/COA_Tanganyika_1.jpg/118px-COA_Tanganyika_1.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s72-c/0L7C0523.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN AMJULIA HALI RAIS JAKAYA KIKWETE NCHINI MAREKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-i1daOkmjRaY/VGnpDhuCrpI/AAAAAAADIXY/77gy3kIpjwY/s1600/0L7C0523.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
News Alert!!:Rais Jakaya Kikwete amuumbua Afisa SUMATRA! awalipua kwa kuchochea migogoro nchini
Rais Dk. Jakaya Kikwete.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amemuumbua mtendaji wa SUMATRA nchini kwa kile alichokieleza kuwa anakibagua chama kipya cha madereva hali ambayo inasababisha madereva hao kukosa mikataba yao na kusabisha mifarakano baina ya madereva na waajili.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Dk Oscar Kikoyo alijikuta katika wakati mgumu pale Rais JK...
10 years ago
Vijimambo24 Jul
RAIS JAKAYA KIKWETE AAGANA NA MABALOZI KUTOKA INDIA, UBELGIJI NA SWEDEN WALIOMALIZA MUDA WAO WA KAZI NCHINI
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/178.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam leo. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi . Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/269.jpg)