Malaria Zanzibar kuwa historia
WIZARA ya Afya Zanzibar, imezindua ugawaji wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha ugonjwa wa malaria unatokomezwa Zanzibar.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini
![Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0383.jpg)
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Malaria nchini kubaki historia?
UGONJWA wa malaria ndio unaoua watu wengi kuliko ugonjwa mwingine nchini. Kundi lililoathirika zaidi na ugonjwa huo ni wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano. Malaria ni janga linalostahili...
10 years ago
Habarileo07 May
Mgomo wa mabasi kuwa historia
MGOMO wa madereva wa mabasi yaendayo mikoani, daladala na malori huenda usitokee tena nchini na hivyo kubaki kuwa suala la kihistoria.
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Usumbufu wa malori Dar kuwa historia
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s72-c/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s400/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.
Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Historia ya Zanzibar lazima ihifadhiweÂ
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, hivi karibuni amezungumzia umuhimu wa kuitambua historia na kuweka kumbukumbu zake vizuri ili kizazi kijacho kielewe Zanzibar ilipotoka na...
11 years ago
Michuzi15 Mar
uhaba wa maji ya uhakika dar es salaam kuwa historia karibuni