TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s72-c/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amesema kwamba matatizo yote katika Mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS) sasa kuwa historia.
Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.
Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Serikali kutathmini mfumo wa usajili
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bpdr7fm1SCE/Xk_4Bc5vlhI/AAAAAAALevc/FMlshmYrI8onWt8cwet4wZ4KRgN3sBtMgCLcBGAsYHQ/s72-c/e17ff0ac-672d-475d-9423-652b81637401.jpg)
10 years ago
Habarileo13 Mar
‘Ifikapo Juni tatizo la maji Dar litakuwa historia’
NAIBU Waziri wa Maji, Amosi Makala ametamba kuwa kufikia Juni mwaka huu tatizo la upatikanaji wa maji kwa mkoa wa Dar es Salaam litakuwa historia.
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo
10 years ago
Habarileo19 Sep
'Kuna tatizo kwenye mfumo wa elimu'
BARAZA la Uongozi wa Elimu, Utawala na Usimamizi (TACELAM) limesema matumizi ya lugha ya kufundishia ni moja ya tatizo linalozorotesha maendeleo ya elimu nchini.