Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.
10 years ago
Habarileo13 Mar
‘Ifikapo Juni tatizo la maji Dar litakuwa historia’
NAIBU Waziri wa Maji, Amosi Makala ametamba kuwa kufikia Juni mwaka huu tatizo la upatikanaji wa maji kwa mkoa wa Dar es Salaam litakuwa historia.
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Malaria nchini kubaki historia?
UGONJWA wa malaria ndio unaoua watu wengi kuliko ugonjwa mwingine nchini. Kundi lililoathirika zaidi na ugonjwa huo ni wajawazito na watoto walio chini ya miaka mitano. Malaria ni janga linalostahili...
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Rais Jakaya Kikwete: Tutaendelea kupambana na Malaria na kubaki kuwa historia nchini
![Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0383.jpg)
Waziri Mkuu Ethiopia, Hailemariam Desalegm pamoja na Rais Jakaya Kikwete wakiwasili katika uzinduzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viuawadudu vya Kuua Viluwiluwi wa Mbu mjini Kibaha. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kwa ushirikiano na Kampuni ya LABIOFAM ya nchini Cuba.
Na Benedict Liwenga-MAELEZO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amefurahishwa na uzinduzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya kuua viluwiluwi vya mbu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mmaBFNoqnLU/VAR4RML0gLI/AAAAAAAGZ8Q/AXPnA7sVq3w/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
NAIBU WAZIRI MAJI ALIVALIA NJUGA TATIZO LA MAJI CHAKWALE
“Kumekuwa na ugumu na uzembe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa kuleta fedha za kutekeleza ...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
10 years ago
MichuziDAWASCO YAANZA OPERESHENI WIZI WA MAJI-RUHEMEJA.