Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dawasco yazima mitambo ya maji

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

TANESCO yazima mitambo bwala la kidatu 

Mitambo Mitatu  kati ya minne  inayozalisha Umeme katika  kituo cha KIDATU kilichopo wilayani Kilombero Mkoani Morogoro  imezimwa kutokana na kupungua kwa kina cha Maji katika bwawa hilo.

Meneja wa Tanesco katika kituo hicho Mhandisi Justus Mpolera  amesema hivi sasa mashine inayofanya kazi ni moja ambayo inauwezo wa kuzalisha mega wati 27 na kama hakutakuwa na mabadiliko ya hali ya hewa basi kituo chicho kitafungwa ndani ya siku chache.

Meneja wa Tanesco  kituo cha kidatu mhandisi Justus...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yazima mitambo mitatu bwawa la Kidatu

Morogoro. Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limezima mitambo yake mitatu kati ya minne ya kuzalisha nishati katika bwawa la Kidatu, mkoani Morogoro, ikiwa ni siku moja imepita tangu ilipotangaza kuzima mashine zake zilizopo kwenye bwawa la Mtera huko Dodoma.

 

9 years ago

Mwananchi

Dawasco yapandisha bei ya maji

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), limeanza rasmi kutumia bei mpya za ankara za maji, ikiwa ni siku chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura) kupitisha mapendekezo ya kupandisha bei kama walivyoomba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco

DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI

Licha ya jitihada zinazoendelea kufanywa kuzuia uhujumu miundombinu ya Majisafi na wizi wa Maji, hujuma nyingine kubwa ya chuma chakavu za MAJITAKA imebainika baada ya DAWASCO kukamata mifuniko ya Majitaka katika kiwanda cha nondo cha IRON&STEEL cha jijini Dar es salaam.
 Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI

Kilio cha watanzania hususani wakazi wa jiji la Dar ni kero ya upatikaji Majisafi na Salama kwa matumizi mbalimbali. Kumekuwa na sababu nyingi zinazochangia wananchi kutopata Maji hayo ikiwemo sababu ya uharibifu wa Miundombinu kwa wananchi wasiokuwa waaminifu kwa kukata mabomba na kujiunganishia Maji kiholela.
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YAKANUSHA KUSAMBAZA MAJI YENYE KINYESI.

Mnamo tarehe 08/11/2015 Magazeti ya Mzalendo na Majira yaliandika habari zilizolenga  upotoshaji na taharuki kwa wananchi na hususani watumiaji wa Maji kwa mkoa wa Dar es salaam wanaohudumiwa na DAWASCO.
Katika gazeti la Mzalendo lilikuwa na kichwa cha habari “Wengi Dar watumia maji yenye kinyesi” na upande wa gazeti la Majira lilibeba kichwa cha habari “Maji machafu yaathiri Dar”. Ndani ya habari hizo waandishi wameelezea shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) kama moja ya...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAANZA OPERESHENI WIZI WA MAJI-RUHEMEJA.

 Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii Kampuni ya Majisafi na Majitaka  Dar es Salaam(Dawasco)imeanza rasmi  operesheni kuwakamata watu waliojiunganishia maji kwa njia haramu. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco,Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema operesheni hiyo itafanyika kanda zote za jiji la Dar es Salaam ikiwa ni kutaka jamii kuacha kuacha tabia hiyo. Amesema kuwa wizi wa maji unafanya watu ambao ndio wateja wa Dawasco kukosa maji na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani