Tanesco yazima mitambo mitatu bwawa la Kidatu
Morogoro. Shirika la Umeme nchini (Tanesco) limezima mitambo yake mitatu kati ya minne ya kuzalisha nishati katika bwawa la Kidatu, mkoani Morogoro, ikiwa ni siku moja imepita tangu ilipotangaza kuzima mashine zake zilizopo kwenye bwawa la Mtera huko Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV11 Oct
TANESCO yazima mitambo bwala la kidatuÂ
Mitambo Mitatu kati ya minne inayozalisha Umeme katika kituo cha KIDATU kilichopo wilayani Kilombero Mkoani Morogoro imezimwa kutokana na kupungua kwa kina cha Maji katika bwawa hilo.
Meneja wa Tanesco katika kituo hicho Mhandisi Justus Mpolera amesema hivi sasa mashine inayofanya kazi ni moja ambayo inauwezo wa kuzalisha mega wati 27 na kama hakutakuwa na mabadiliko ya hali ya hewa basi kituo chicho kitafungwa ndani ya siku chache.
Meneja wa Tanesco kituo cha kidatu mhandisi Justus...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Tanesco: Mgodi wa Kidatu bado una uwezo
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), limesema mgodi wa kufua umeme uliojengwa Kidatu Morogoro mwaka 1975, bado una uwezo wa kuzalisha nishati hiyo kwa kiwango cha kutosha. Kauli hiyo,...
10 years ago
TheCitizen19 Sep
Tanesco plans for Kidatu dam repair to cost billions
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mitambo ya TANESCO yawasili
AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--wzAJGzfH7E/XtecBIAWgCI/AAAAAAALseM/3v2D9q4VKtEg8-sGXBT2Hs8phtZqgz_YgCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
UCHIMBAJI ENEO LA KINA CHA LANGO LA KUINGILIA MAJI KWENYE MITAMBO WAKAMILIKA KATIKA MRADI WA BWAWA LA KUFUA UMME LA MWALIMU NYERERE
Akizungumza na waandishi wa habari leo, Msimamizi wa Ujenzi wa njia za maji pamoja na bwawa kwenye mradi huo Mhandisi Dismas Mbote amesema utekelezaji wa njia hiyo ulianza Mwezi Oktoba 2019 na kuongeza kazi ya uchimbaji wa lango imekamilika kwa kuchimbwa kina cha mita 53 ambapo hivi sasa kazi inayoendelea ni uondoaji...
10 years ago
MichuziTANESCO KILIMANJARO WAFANYA MAREKEBISHO MITAMBO ILIYOUNGUA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-81QGT6H1ACk/U_GCYc4tBvI/AAAAAAAAHGE/44VwyIGJjo0/s1600/IMG-20140817-WA0018.jpg)
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.