TANESCO KILIMANJARO WAFANYA MAREKEBISHO MITAMBO ILIYOUNGUA MOTO
Mafundi wa TANESCO mkoa wa Kilimanjaro wakitizama namna ya kuokoa mafuta yaliyokuwa yakimwagika toka kwenye mtambo wa kupozea umeme.
Mafundi wa Tanesco wakiandaa pipa kwa ajili ya kuwekea mafuta yaliyokuwa yakimwagika toka kwenye Transforma.
Mafundi wa Tanesco mkoa wa Kilimanjaro wakijaribu kuelekeza mafuta yaliyokuwa yakimwagika kuingia katika pipa.
Mafuta yakiwekwa katika Pipa.
Mafundi wa Tanesco mkoa wa Kilimanjaro wakijaribu kurudishia mafuta katika mitambo ya kupozea umeme. Mitambo ya kituo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Mky3-bo_A5g/VN9-amRnuDI/AAAAAAABlIU/X9Zz-Wi9NrA/s72-c/kendwa.jpg)
BALOZI SIF ATEMBELEA HOTEL ILIYOUNGUA KWA MOTO NUNGWI KENDWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mky3-bo_A5g/VN9-amRnuDI/AAAAAAABlIU/X9Zz-Wi9NrA/s640/kendwa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z9sUEGy50Kw/VN-B5U362KI/AAAAAAABlI8/6Mm1C5nUooc/s640/kendwa%2B2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PJx1hinZYJE/VN9-V82dLGI/AAAAAAABlIM/IWO9H98reck/s640/kendwa%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qPzIodhyMrw/VN9-ctHJIqI/AAAAAAABlIc/f1_U7doct6k/s640/kendwa%2B4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-I-F6OAi6LPc/VTPdQo25I1I/AAAAAAAHSA4/EcGvFQ0kkl0/s72-c/unnamed%2B(61).jpg)
Balozi seif atembelea Karafuu Beach Resort Spa iliyoungua kwa moto Ijumaa usiku
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Mitambo ya TANESCO yawasili
AWAMU ya kwanza ya mitambo ya kufua umeme kwa ajili ya mradi namba moja wa Kinyerezi jijini Dar es Salaam imewasili bandarini. Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
9 years ago
StarTV11 Oct
TANESCO yazima mitambo bwala la kidatuÂ
Mitambo Mitatu kati ya minne inayozalisha Umeme katika kituo cha KIDATU kilichopo wilayani Kilombero Mkoani Morogoro imezimwa kutokana na kupungua kwa kina cha Maji katika bwawa hilo.
Meneja wa Tanesco katika kituo hicho Mhandisi Justus Mpolera amesema hivi sasa mashine inayofanya kazi ni moja ambayo inauwezo wa kuzalisha mega wati 27 na kama hakutakuwa na mabadiliko ya hali ya hewa basi kituo chicho kitafungwa ndani ya siku chache.
Meneja wa Tanesco kituo cha kidatu mhandisi Justus...
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Tanesco yazima mitambo mitatu bwawa la Kidatu
10 years ago
Habarileo02 Oct
Mahakama Kuu yazuia Tanesco kusimamia mitambo Tegeta
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imeamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kutoingilia umiliki, usimamizi na utawala wa Mitambo ya ufuaji umeme iliyopo Tegeta, Dar es Salaam hadi hapo uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi utakapotolewa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-trYTgyA9hdE/XvGKaX91SOI/AAAAAAALvAk/uwSOPXo_IcQbyCB_nc8u_KwqUU3h3LyoACLcBGAsYHQ/s72-c/Picha-1-9-768x556.jpg)
SEKRETARIETI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA BIASHARA HARAMU YA USAFIRISHAJI BINADAMU WAFANYA KIKAO CHA KUPENDEKEZA MAREKEBISHO YA SHERIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-trYTgyA9hdE/XvGKaX91SOI/AAAAAAALvAk/uwSOPXo_IcQbyCB_nc8u_KwqUU3h3LyoACLcBGAsYHQ/s640/Picha-1-9-768x556.jpg)
Katibu wa Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Biashara Haramu ya Usafirishaji Binadamu, Seperatus Fella, akifafanua jambo kuhusu Sheria ya Kuzuia Biashara Haramu ya Usafirishaji wa Binadamu katika Kikao cha Wadau wa Sheria wa Wizara na Idara za serikali kwa ajili ya kupendekeza marekebisho ya Sheria hiyo, Kikao hicho kimefanyika, Jijini Dodoma leo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/Picha-2-9-1024x680.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Wabunge Kilimanjaro wafanya vizuri kielimu
WABUNGE wa Mkoa wa Kilimanjaro wamekuwa vinara katika kuboresha elimu ya shule ya msingi kwa kupata wastani wa asilimia 82 sawa na daraja ‘A’ wakati wabunge wa mikoa ya Singida...