Balozi seif atembelea Karafuu Beach Resort Spa iliyoungua kwa moto Ijumaa usiku
.jpg)
Uongozi wa Hoteli ya Kimataifa ya Karafuu Beach Resort Spa ya Michamvi Wilaya ya Kati umeipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na wananchi wa Kijiji cha Michamvi Wilaya ya kati kwa juhudi walizochukuwa katika kusaidia kuuzima moto mkubwa uliotokea juzi mnamo saa 10.00 za alfajiri. Meneja wa Hoteli hiyo Bwana Zakaria Juma alitoa pongezi hizo mbele ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefika Hotelini hapo kuangalia athari ya moto huo kwa lengo la kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT






10 years ago
Vijimambo
BALOZI SIF ATEMBELEA HOTEL ILIYOUNGUA KWA MOTO NUNGWI KENDWA




11 years ago
Michuzi
9 years ago
BBC17 Nov
Tunisia 'foils new beach resort plot'
10 years ago
Vijimambo
Balozi Seif Atembelea Shamba la Kilimo Makurunge Bagamoyo.


10 years ago
Vijimambo
BALOZI SEIF ATEMBELEA FUJONI NA KUSIKILIZA CHANGAMOTO WANAZOKABILIANA NAZO



11 years ago
Michuzi.jpg)
Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero
11 years ago
TheCitizen31 Aug
Mouth-watering fish dish at Faulu Beach Resort
11 years ago
Michuzi
Balozi Seif Ali Iddi atembelea Mabanda ya Maonyesho ya miaka 50 ya muungano