Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI

Kilio cha watanzania hususani wakazi wa jiji la Dar ni kero ya upatikaji Majisafi na Salama kwa matumizi mbalimbali. Kumekuwa na sababu nyingi zinazochangia wananchi kutopata Maji hayo ikiwemo sababu ya uharibifu wa Miundombinu kwa wananchi wasiokuwa waaminifu kwa kukata mabomba na kujiunganishia Maji kiholela.
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mamlaka ya maji Mbeya yadhibiti kipindupindu

MAMLAKA ya Majisafi na usafi wa Mazingira jijini Mbeya (Mbeya-UWSA) imewahimiza wananchi kuendelea kulipa ankara za maji, ili kuiwezesha Mamlaka hiyo kudhibiti magonjwa ya milipuko kikiwemo kipindupindu. Kaimu Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kudhibiti upotevu wa maji

 Zaidi ya asilimia 55 ya maji yanayozalishwa kwa matumizi Mkoa wa Dar es Salaam, yanapotea kabla ya kuwafikia watumiaji kutokana na kuvuja, wizi na uchakavu wa miundombinu.

 

9 years ago

Mwananchi

Dawasco yapandisha bei ya maji

Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco), limeanza rasmi kutumia bei mpya za ankara za maji, ikiwa ni siku chache baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (Ewura) kupitisha mapendekezo ya kupandisha bei kama walivyoomba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yazima mitambo ya maji

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco

DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi, Meneja wa Maji Dawasco watakiwa kujitathmini

NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka watendaji wakuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka jijini Dar es Salaam (Dawasco), Mkurugenzi wa Maji na Meneja wa Maji kujitathmini na kuona kama wanafaa kufanya kazi hiyo ama waachie nafasi zao.

 

10 years ago

Habarileo

Dawasco yajipanga kumaliza shida ya maji Dar

SERIKALI imesema inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam inaimarika na kufikia wananchi wengi kadiri inavyowezekana. Viongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasa) wamesema wanahakikisha miradi inayoendelea ya kuimarisha huduma ya maji inakamilika haraka na kwa muda uliopangwa kufanikisha lengo hilo.

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI

Licha ya jitihada zinazoendelea kufanywa kuzuia uhujumu miundombinu ya Majisafi na wizi wa Maji, hujuma nyingine kubwa ya chuma chakavu za MAJITAKA imebainika baada ya DAWASCO kukamata mifuniko ya Majitaka katika kiwanda cha nondo cha IRON&STEEL cha jijini Dar es salaam.
 Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani