DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s72-c/IMG-20150117-WA013.jpg)
DAWASCO YAJIDHATITI KUDHIBITI UPOTEVU WA MAJI JIJINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Rzt-xHwEGDk/VLoaruceLhI/AAAAAAAG98Y/KC3YhrJ3YZE/s1600/IMG-20150117-WA013.jpg)
Kiwango cha Maji kinachopotea kwa mujibu wa DAWASCO ni kwa asilimia 54 ambapo kiwango hicho ni kikubwa zaidi kutoka kile cha kimataifa cha asilimia 16 kinachotakiwa.
Ofisa...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Mamlaka ya maji Mbeya yadhibiti kipindupindu
MAMLAKA ya Majisafi na usafi wa Mazingira jijini Mbeya (Mbeya-UWSA) imewahimiza wananchi kuendelea kulipa ankara za maji, ili kuiwezesha Mamlaka hiyo kudhibiti magonjwa ya milipuko kikiwemo kipindupindu. Kaimu Mkurugenzi wa...
11 years ago
Mwananchi26 Feb
Serikali kudhibiti upotevu wa maji
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jul
Tatizo la maji kubaki historia — Dawasco
DAR ES SALAAM ni miongoni mwa majiji ambayo yamekuwa yakikua kwa kasi barani Afrika. Ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la idadi ya watu wanaokuja kutembea na kuishi jijini...
10 years ago
Habarileo13 Mar
Mkurugenzi, Meneja wa Maji Dawasco watakiwa kujitathmini
NAIBU Waziri wa Maji, Amos Makalla amewataka watendaji wakuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka jijini Dar es Salaam (Dawasco), Mkurugenzi wa Maji na Meneja wa Maji kujitathmini na kuona kama wanafaa kufanya kazi hiyo ama waachie nafasi zao.
10 years ago
Habarileo25 Aug
Dawasco yajipanga kumaliza shida ya maji Dar
SERIKALI imesema inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam inaimarika na kufikia wananchi wengi kadiri inavyowezekana. Viongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasa) wamesema wanahakikisha miradi inayoendelea ya kuimarisha huduma ya maji inakamilika haraka na kwa muda uliopangwa kufanikisha lengo hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s72-c/unnamedz.jpg)
DAWASCO YALIA NA WAHUJUMU WA MIUNDOMBINU YA MAJI JIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_7xl9xKq7eg/VOR2q2j0BCI/AAAAAAAHEWQ/M0bu9TnM9FI/s1600/unnamedz.jpg)
Vyuma Chakavu hivyo ambavyo ni mifuniko ya chemba za Majitaka za DAWASCO zimebainika baada ya uchunguzi wa kina na taarifa kutoka kwa wasamaria wema kuhusu upatikanaji wa mifuniko hiyo kiwandani hapo.
Afisa Uhusiano...