Dawasco yajipanga kumaliza shida ya maji Dar
SERIKALI imesema inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha huduma ya maji katika Jiji la Dar es Salaam inaimarika na kufikia wananchi wengi kadiri inavyowezekana. Viongozi wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasa) wamesema wanahakikisha miradi inayoendelea ya kuimarisha huduma ya maji inakamilika haraka na kwa muda uliopangwa kufanikisha lengo hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s72-c/download%2B%25281%2529.jpeg)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTj7WLfEqZI/Vmq4IMczytI/AAAAAAAILos/3VhcYCvNdmk/s640/download%2B%25281%2529.jpeg)
Sababu ya kuzimwa kwa mtambo huo ni kuruhusu kufanya matengenezo na maboresho ya njia kubwa ya Maji inayohudumia eneo la Salasala na viunga vyake vyote.
Akiongea na...
9 years ago
MichuziDAWASCO YAONGEZA USAMABAZAJI WA MAJI SAFI KUPAMBANA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU DAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUANZA KUTUMIKA KWA BEI MPYA YA MAJI JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-t0X1FYTBRW8/VmAQ6P6pUWI/AAAAAAAIJ98/To4l9twnJBw/s640/Untitled1.png)
Gharama hizo mpya ambazo zimeanza rasmi kutumika Disemba 01, zimepanda...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO YATANGAZA KUKOSEKANA HUDUMA YA MAJI KWA SIKU MBILI JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-BRx28aSBj2I/VL1iLP8srvI/AAAAAAAG-Wo/nJXzXzDCKCs/s1600/Untitled1.png)
Kuzimwa kwa mtambo wa Ruvu Chini kutasababisha maeneo yafuatayo kukosa Maji; Mji wa...
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA wILAYA YA rUNGWE YAJIPANGA KUMALIZA UJENZI WA MAABARA KWA WAKATI.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Crispin Meela akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa saruji na Silingbodi zenye thamani ya shilingi Milioni 4.7 kwa ajili ya ujenzi wa maabara Wilayani Rungwe.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Mifuko 100 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company Limited, Mhandisi Andrew Mwaipaja wanaoshughulikia mradi wa umeme vijijini(REA).
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Siling bodi kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s72-c/Untitled1.png)
DAWASCO yawaomba radhi wakazi wote wa jiji la Dar na mji wa Bagamoyo kwa kukosekana kwa huduma ya maji
![](http://1.bp.blogspot.com/-v3lfYbSW0a0/VH3WMmnctGI/AAAAAAAG01E/NQd5sHzhmJI/s1600/Untitled1.png)
Kukosekana kwa huduma hii kulitokana na kazi ya mkandarasi (Sino-hydro Corporation ltd) kuunganisha bomba la zamani na bomba jipya (cross-connection) katika mtambo wa Ruvu Chini eneo la Mpiji, Bagamoyo na eneo la Chuo Kikuu Ardhi...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dawasco yazima mitambo ya maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Dawasco yapandisha bei ya maji
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
DAWASCO yadhibiti upotevu wa maji
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) limeamua kudhibiti upotevu wa maji katika Jiji la Dar es Salaam ambao unawapunguzia mapato. Ofisa Uhusiano wa shirika hilo, Everlasting Lyaro,...