HALMASHAURI YA wILAYA YA rUNGWE YAJIPANGA KUMALIZA UJENZI WA MAABARA KWA WAKATI.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Crispin Meela akitoa neno la shukrani baada ya kupokea msaada wa saruji na Silingbodi zenye thamani ya shilingi Milioni 4.7 kwa ajili ya ujenzi wa maabara Wilayani Rungwe.
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Mifuko 100 kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company Limited, Mhandisi Andrew Mwaipaja wanaoshughulikia mradi wa umeme vijijini(REA).
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe akipokea msaada wa Siling bodi kutoka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya State Grid Company...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Waziri Mwandosya atembelea Mradi wa nyumba 13 za kisasa kwa ajili ya Wafanyakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Rungwe Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVv8FZ-DjeQ/VVHmhTUETbI/AAAAAAAHW0k/iJTKmYhhWMc/s640/unnamed%2B(46).jpg)
11 years ago
MichuziMIRADI YA MAENDELEO YA HALMASHAURI YA WILAYA YA RUNGWE YAENDELEA KUKAGULIWA
Kwa Picha na habari zaidi bofya Basahama Blogspot
10 years ago
Dewji Blog25 Nov
ALAF yatoa msaada wa mabati kwa ajili ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari wilaya ya Mbeya
Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-O5__avcPolg/VEkKSCe86hI/AAAAAAAGs94/3xJeMOXlR74/s72-c/PIX%2B1.jpg)
WAZIRI CHIKAWE AMKABIDHI MKUU WA WILAYA NACHINGWEA MABATI 2000 KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI
![](http://1.bp.blogspot.com/-O5__avcPolg/VEkKSCe86hI/AAAAAAAGs94/3xJeMOXlR74/s1600/PIX%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-T7RirNf69qo/VEkKR002bzI/AAAAAAAGs90/rhDiLikoX5s/s1600/PIX%2B2-Horizontal%2BPix.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA
10 years ago
MichuziLAPF YATOA MSAADA KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE-WILAYA YA ULANGA MASHARIKI.
9 years ago
StarTV12 Nov
Halmashauri ya Tanga yaagizwa kuandaa mipango ya ujenzi wa hospitali ya wilaya.
Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza aagiza halmashauri ya wilaya ya Mkinga kumueleza namna watakavyojenga hospitali ya wilaya ifikapo mwezi Januari mwaka kesho.
Mahiza ambaye amehamishiwa hivi karibuni katika mkoa huo akitokea mkoani Pwani amesema ni jambo la aibu kwa halmashauri ya Mkinga ambayo imeanzishwa miaka mingi iliyopita kukosa hospitali ya wilaya.
Halimashauri ya wilaya ya Mkinga iliyoanzishwa kwa takribani miaka sita iliyopita kwa lengo la kusogeza huduma karibu na...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mkandarasi atakiwa kumaliza barabara kwa wakati
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya J.V anayejenga barabara ya Makutano-Nyamuswa-Ikoma Gate, sehemu ya Makutano-Natta kilomita 50, kufanya kazi usiku na mchana ili kukamilisha mradi huo...
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Rungwe yapania kumaliza tatizo la mabara, madawati
NA MWANDISHI WETU, TUKUYU
HALMASHAURI ya Wilaya Rungwe, imetenga sh. milioni 150 kwenye bajeti yake ya mwaka 2014/2015, kununua vifaa vya maabara na kufunga mifumo imara ya gesi, katika shule zake 28 za sekondari zilizoko wilayani humo.
Kiasi hicho cha fedha kitatengwa kupitia ruzuku ya kukuza mtaji katika Serikali za Mitaa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Veronica Kessy, alisema hayo alipokuwa akielezea mkakati wa kujenga na kutumia maabara kwa wanafunzi wa shule za...