Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo

Katika juhudi za kuonyesha udhibiti na ufuatiliaji wa rushwa nchini, Taasisi ya Kupambana na Kudhibiti Rushwa (Takukuru) imejaribu kuonyesha makucha yake tangu kuteuliwa kwa Mkurugenzi wake mkuu, Dk Edward Hoseah mwaka 2006.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Serikali ihojiwe kukithiri rushwa nchini- Raawu

Watanzania wametakiwa kuamka na kuwahoji waajiri, ikiwamo Serikali sababu za wafanyakazi wa umma kuomba rushwa kwa huduma wanazotoa.

 

11 years ago

Mwananchi

Rushwa bado ni tatizo nchini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema, rushwa ni changamoto ambayo bado inalikabili taifa, hivyo hukwamisha sera ya utawala bora na kuharibu sifa ya nchi katika medani ya kimataifa katika kudhibiti na kupambana na rushwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema baadhi ya Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa kutokana na watendaji wake kuendekeza vitendo hivyo na kuwakosesha haki wananchi.

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Matukio ya kujichukulia sheria mkononi yazidi kukithiri nchini

Dar es Salaam. Kituo cha Haki za Binaadamu (LHRC), kwa kushirikiana na Kituo cha Huduma za Sheria Zanzibar (ZLSC), kimewasilisha ripoti ya mwaka 2014 inayoonyesha kuongezeka kwa matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu yanayosababishwa na baadhi ya watu kujichukulia sheria mkononi na mauaji yanayofanywa na vyombo vya dola.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tatizo si Nyosso ni mfumo wetu

MPIRA ni zaidi ya kucheza.

Abdul Mkeyenge

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania

Dar es Salaam.  Serikali imesema imeyafungia mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandaaji kukiuka taratibu na kanuni huku pia yakitajwa kukithiri kwa rushwa ya ngono na upendeleo.

 

10 years ago

Habarileo

'Kuna tatizo kwenye mfumo wa elimu'

BARAZA la Uongozi wa Elimu, Utawala na Usimamizi (TACELAM) limesema matumizi ya lugha ya kufundishia ni moja ya tatizo linalozorotesha maendeleo ya elimu nchini.

 

5 years ago

Michuzi

TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amesema kwamba matatizo yote katika Mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS) sasa kuwa historia.

Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.

Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani