Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema baadhi ya Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa kutokana na watendaji wake kuendekeza vitendo hivyo na kuwakosesha haki wananchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Rushwa bado ni tatizo nchini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pW5TutPlQ5g/XupuKetXYrI/AAAAAAALuSs/NtZxcHTfo04hyCIBb77Cd3R_Zwa2u9DnQCLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI%2BMKUU.jpg)
JAJI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA MAHAKAMA KUPAMBANA NA RUSHWA ILI KUEPUSHA UCHELEWESHAJI WA HAKI
MAHAMAMA nchini zimetakiwa kupambana na vitendo vya rushwa ili kuzuia ucheleweshaji wa haki unaofanywa kwenye kesi na mashauri mbalimbali yanayofunguliwa.
Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Jaji Mkuu nchini, Prof Ibrahim Juma alipokuwa akifungua kongamano la wadau kujadili rushwa katika mfumo wa utoaji haki nchini.
Jaji Mkuu amesema amesema vitendo vya rushwa hushamiri zaidi katika taasisi zinazo chelewesha haki na hivyo kutaka hatua zaidi za mapambano dhidi ya rushwa...
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Rushwa inadhalilisha Mahakama — Jaji Stella
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Stella Mugasha, amesema vitendo vya rushwa vinaidhalilisha Mahakama na kuwafanya wananchi kuamini kuwa haki inanunuliwa. Kutokaana na hali hiyo, Jaji Stella amewataka...
10 years ago
Michuzi23 Mar
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8-wzM8s*KCKErGQJsvQgaUS2bwzrYk0ewtPMKKnWO5j3cEFUpp34qQMo4qpam87PIlya09iIxNp4*QXNMDI7Tb/SHAMAH2.jpg)
MATUSI YA MITANDAONI BADO NI TATIZO NCHINI
10 years ago
Habarileo06 Jan
Tatizo la watoto kuungua bado kubwa nchini
TATIZO la watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kuungua, limetajwa kuwa kubwa, kutokana na kile kilichoelezwa ni uzembe wa ama wazazi au walezi.