Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, amesema baadhi ya Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa kutokana na watendaji wake kuendekeza vitendo hivyo na kuwakosesha haki wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rushwa bado ni tatizo nchini

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika amesema, rushwa ni changamoto ambayo bado inalikabili taifa, hivyo hukwamisha sera ya utawala bora na kuharibu sifa ya nchi katika medani ya kimataifa katika kudhibiti na kupambana na rushwa.

 

5 years ago

Michuzi

JAJI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA MAHAKAMA KUPAMBANA NA RUSHWA ILI KUEPUSHA UCHELEWESHAJI WA HAKI

Charles James, Michuzi TV

MAHAMAMA nchini zimetakiwa kupambana na vitendo vya rushwa ili kuzuia ucheleweshaji wa haki unaofanywa kwenye kesi na mashauri mbalimbali yanayofunguliwa.

Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Jaji Mkuu nchini, Prof Ibrahim Juma alipokuwa akifungua kongamano la wadau kujadili rushwa katika mfumo wa utoaji haki nchini.

Jaji Mkuu amesema amesema vitendo vya rushwa hushamiri zaidi katika taasisi zinazo chelewesha haki na hivyo kutaka hatua zaidi za mapambano dhidi ya rushwa...

 

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rushwa inadhalilisha Mahakama — Jaji Stella

JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Stella Mugasha, amesema vitendo vya rushwa vinaidhalilisha Mahakama na kuwafanya wananchi kuamini kuwa haki inanunuliwa. Kutokaana na hali hiyo, Jaji Stella amewataka...

 

9 years ago

Mwananchi

Kukithiri rushwa nchini ni tatizo la mfumo

Katika juhudi za kuonyesha udhibiti na ufuatiliaji wa rushwa nchini, Taasisi ya Kupambana na Kudhibiti Rushwa (Takukuru) imejaribu kuonyesha makucha yake tangu kuteuliwa kwa Mkurugenzi wake mkuu, Dk Edward Hoseah mwaka 2006.

 

10 years ago

GPL

MATUSI YA MITANDAONI BADO NI TATIZO NCHINI

Salma Omar Yusuf anayedaiwa kumtusi Nadya. SUALA la matumizi ya mitandao ya kijamii katika kujielimisha, kuhabarika na kuburudika kwa sasa limegeuka na kuwa uwanja wa kutupiana matusi. Nadya Masoud Mohammed mlalamikaji. Kwa sasa watumiaji wamebadilika na kutumia mitandao ya kijamii katika kuharibu maadili ya jamii hasa ya Waafrika na kusahau malengo makuu ya kuanzishwa kwa mitandao hiyo. Mbali na taasisi mbalimbali… ...

 

10 years ago

Habarileo

Tatizo la watoto kuungua bado kubwa nchini

TATIZO la watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kuungua, limetajwa kuwa kubwa, kutokana na kile kilichoelezwa ni uzembe wa ama wazazi au walezi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani