JAJI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA MAHAKAMA KUPAMBANA NA RUSHWA ILI KUEPUSHA UCHELEWESHAJI WA HAKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-pW5TutPlQ5g/XupuKetXYrI/AAAAAAALuSs/NtZxcHTfo04hyCIBb77Cd3R_Zwa2u9DnQCLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI%2BMKUU.jpg)
Charles James, Michuzi TV
MAHAMAMA nchini zimetakiwa kupambana na vitendo vya rushwa ili kuzuia ucheleweshaji wa haki unaofanywa kwenye kesi na mashauri mbalimbali yanayofunguliwa.
Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Jaji Mkuu nchini, Prof Ibrahim Juma alipokuwa akifungua kongamano la wadau kujadili rushwa katika mfumo wa utoaji haki nchini.
Jaji Mkuu amesema amesema vitendo vya rushwa hushamiri zaidi katika taasisi zinazo chelewesha haki na hivyo kutaka hatua zaidi za mapambano dhidi ya rushwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa
10 years ago
Michuzi17 Aug
MKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA KILIMO
![IMG_0085](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/qKxGZqsDbFN0NBDqCJOtDHlKDIHtvAIwDX7eyUvKdeCllMAugiBZG7PVCecC3HJyZn__u77mXAzNV_nQpsay_xV93Hu5a_2tsJgNybVAPq8DmLHTbFIlNvE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0085.jpg?w=627)
![IMG_0073](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/adyolhI3A24XVU4AwfU5JvFjML6U2xsoxQqLY8r-1fr9xbfmdRHbGN4WgstnpIxMwMv9mP433KSLEIiSTe_-SwYMIc4JItAugZsBiK5EDql77Lb11gRF-xg=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/08/img_0073.jpg?w=627)
11 years ago
Habarileo10 Mar
RC amlalamikia Jaji Mkuu ucheleweshaji kesi za ardhi
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amemweleza Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Othman Chande, kuhusu ugumu wa utekelezaji wa baadhi ya uamuzi, unaotolewa na Mahakama katika utatuzi wa migogoro ya ardhi baina ya makundi mbalimbali mkoani humo.
10 years ago
Michuzi23 Mar
5 years ago
MichuziWAZIRI MWIGULU AVITAKA VYOMBO VYA SHERIA NCHINI KUTOTUMIKA VIBAYA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s72-c/unnamed%2B(23).jpg)
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI PIA ATEMBELEA OFISI YA TUME ZA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ou7FyjdMc4A/VNvGX3xsRmI/AAAAAAAHDLQ/rEIqBsQgVo4/s1600/unnamed%2B(23).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yU_AFfMHT50/VNvGX84cnmI/AAAAAAAHDLM/P1zyi8NaHes/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Rushwa inadhalilisha Mahakama — Jaji Stella
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, Stella Mugasha, amesema vitendo vya rushwa vinaidhalilisha Mahakama na kuwafanya wananchi kuamini kuwa haki inanunuliwa. Kutokaana na hali hiyo, Jaji Stella amewataka...
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Virusi vya Corona: Jinsi unavyoweza kufanikiwa binafsi kujitenga ili kuepusha maambukizi.