MKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA KILIMO
Mkurugenzi wa Tan Communication Media inayo miliki kituo cha Radio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha Bw Robert Francis akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo baada ya kufanya hafla fupi iliyofanyika mjengoni kwao ,ya kuwapongeza kwa kushika nafasi ya kwanza katika sekta ya mawasiliano na habari kwa ukanda wa kaskazini maonyesho ya nane nane, Pamoja na David Rwenyagira aliyepata Tuzo za Tanapa hivi karibuni
Mkurugenzi wa Tan Communication Media inayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgvFiL8wxMlZ9*-4A1ElSSP7kg-*8aW142p*qVs7LgsV7HWFyFsKwbqNsUgFPlR9qdhqP13HFmZB0LNu7ypPjOS/l1.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA HABARI BILA KUPOTOSHA UMMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VhgFPDQ0kLg/U_8QIXDpTEI/AAAAAAAGKjU/uy8XMXQOL_Q/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PY0XzAI5dpU/U_8QOT8cD-I/AAAAAAAGKjk/-eOx_rLGqTE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amevitaka vyombo vya habari nchini kuacha uchochezi na chuki wakati vinapohabarisha umma kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya.
Kauli hiyo nimetolewa leo na Mhe. Sitta wakati alipokutana na baadhi ya waandishi wa habari katika viwanja vya...
9 years ago
MichuziPROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
10 years ago
GPLMAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VxHnyNkDaqg/VaVmtK3flNI/AAAAAAAHpuY/rxDYZIj-gpY/s72-c/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Tanzania Breweries Limited atembelea vyombo vya habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-VxHnyNkDaqg/VaVmtK3flNI/AAAAAAAHpuY/rxDYZIj-gpY/s640/unnamed%2B%252848%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2aQcJN_4amw/VaVmtFa0TqI/AAAAAAAHpug/deOTq8JCrLg/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)