MATUSI YA MITANDAONI BADO NI TATIZO NCHINI
![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8-wzM8s*KCKErGQJsvQgaUS2bwzrYk0ewtPMKKnWO5j3cEFUpp34qQMo4qpam87PIlya09iIxNp4*QXNMDI7Tb/SHAMAH2.jpg)
Salma Omar Yusuf anayedaiwa kumtusi Nadya. SUALA la matumizi ya mitandao ya kijamii katika kujielimisha, kuhabarika na kuburudika kwa sasa limegeuka na kuwa uwanja wa kutupiana matusi. Nadya Masoud Mohammed mlalamikaji. Kwa sasa watumiaji wamebadilika na kutumia mitandao ya kijamii katika kuharibu maadili ya jamii hasa ya Waafrika na kusahau malengo makuu ya kuanzishwa kwa mitandao hiyo. Mbali na taasisi mbalimbali… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Rushwa bado ni tatizo nchini
10 years ago
Habarileo06 Jan
Tatizo la watoto kuungua bado kubwa nchini
TATIZO la watoto walio chini ya umri wa miaka mitano kuungua, limetajwa kuwa kubwa, kutokana na kile kilichoelezwa ni uzembe wa ama wazazi au walezi.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Jaji Mkuu: Mahakama nchini bado zinakabiliwa na tatizo la rushwa
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Microsoft yaja na jibu la tatizo la wizi mitandaoni
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Ukeketaji bado tatizo
UKEKETAJI ni mila potofu inayodhaniwa kwamba ikifanywa ni heshima pindi mwanamke atakapoolewa. Lakini ukeketaji una madhara kwa wanaofanyiwa, ikiwemo maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kuchangia nyenzo za...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Unyanyasaji wa wanawake bado tatizo
IMEELEZWA kuwa wanawake wengi duniani bado wananyanyaswa kijinsia kwa sababu za kijamii, kiuchumi na kipato licha ya kuwepo kwa elimu kuhusu haki zao. Hayo yalizungumzwa jana na John Mapesa Naibu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)