Ukeketaji bado tatizo
UKEKETAJI ni mila potofu inayodhaniwa kwamba ikifanywa ni heshima pindi mwanamke atakapoolewa. Lakini ukeketaji una madhara kwa wanaofanyiwa, ikiwemo maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kuchangia nyenzo za...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Feb
Waziri: Ukeketaji bado ni tatizo kubwa
WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema ukatili wa kijinsia bado ni changamoto kubwa nchini ambapo suala la ukeketaji bado linatisha huku utafiti ukionesha kwamba kati ya wasichana watano, wawili wanaolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.
10 years ago
Habarileo08 Feb
‘Vitendo vya ukeketaji bado tatizo sugu’
VITENDO vya ukeketaji bado ni tatizo sugu, kutokana na baadhi ya watoa huduma za afya kushiriki kusaidia jambo hilo.
10 years ago
Vijimambo06 Feb
UKEKETAJI BADO NI TATIZO SUGU TANZANIA,LHRC NA MASHIRIKA MENGINE WATOA NENO NZITO,SOMA HAPA
NA EXAUD MTEIIkiwa leo ni siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji duniani imeelezwa kuwa bado mapambano dhidi ya ukatili huo hapa nchini kwetu Tanzania yanahitaji nguvu ya ziada kwani bado baadhi ya mikoa imekuwa sugu katika vitendo hivyo ambapo serikali imetakiwa kuchakua hatua mara moja juu ya watu ambao wanahusika...
10 years ago
Michuzi11 Apr
TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
10 years ago
Habarileo13 Oct
Ukeketaji bado watesa Tarime
WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Rushwa bado ni tatizo nchini
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Unyanyasaji wa wanawake bado tatizo
IMEELEZWA kuwa wanawake wengi duniani bado wananyanyaswa kijinsia kwa sababu za kijamii, kiuchumi na kipato licha ya kuwepo kwa elimu kuhusu haki zao. Hayo yalizungumzwa jana na John Mapesa Naibu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb8-wzM8s*KCKErGQJsvQgaUS2bwzrYk0ewtPMKKnWO5j3cEFUpp34qQMo4qpam87PIlya09iIxNp4*QXNMDI7Tb/SHAMAH2.jpg)
MATUSI YA MITANDAONI BADO NI TATIZO NCHINI