Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukeketaji bado watesa Tarime

WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wazee 60 Tarime kujadili ukeketaji

JUHUDI za kumaliza tatizo la ukeketaji katika wilaya ya Tarime zimeendelea kuzaa matunda, baada ya wazee wa mila 60 kukutana kukubali kuhudhuria semina inayolenga kutokomeza mila hiyo katika maeneo yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukeketaji bado tatizo

UKEKETAJI ni mila potofu inayodhaniwa kwamba ikifanywa ni heshima pindi mwanamke atakapoolewa. Lakini ukeketaji una madhara kwa wanaofanyiwa, ikiwemo maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) kutokana na kuchangia nyenzo za...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri: Ukeketaji bado ni tatizo kubwa

WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia SimbaWAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba amesema ukatili wa kijinsia bado ni changamoto kubwa nchini ambapo suala la ukeketaji bado linatisha huku utafiti ukionesha kwamba kati ya wasichana watano, wawili wanaolewa kabla ya kufikisha umri wa miaka 18.

 

10 years ago

Habarileo

‘Vitendo vya ukeketaji bado tatizo sugu’

VITENDO vya ukeketaji bado ni tatizo sugu, kutokana na baadhi ya watoa huduma za afya kushiriki kusaidia jambo hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

UKEKETAJI BADO NI TATIZO SUGU TANZANIA,LHRC NA MASHIRIKA MENGINE WATOA NENO NZITO,SOMA HAPA

Mwanasheria kutoka kituo cha sheria na haki za binadamu LHRC ndugu HAROLD SUNGUSIA akizungumza na wanahabari leo jijini Dar es salaam juu ya siku ya kupinga ukeketaji duniani
NA EXAUD MTEIIkiwa leo ni siku ya kupinga vitendo vya ukeketaji duniani imeelezwa kuwa bado mapambano dhidi ya ukatili huo hapa nchini kwetu Tanzania yanahitaji nguvu ya ziada kwani bado baadhi ya mikoa imekuwa sugu katika vitendo hivyo ambapo serikali imetakiwa kuchakua hatua mara moja juu ya watu ambao wanahusika...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya

Wizkid-NA BADI MCHOMOLO

WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.

Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

9 years ago

Mwananchi

Wazawa hoi, wageni watesa

Wakati Ligi Kuu Tanzania Bara ikizidi kushika kasi nchini, nyota wa kigeni waliosajiliwa na timu za Simba, Yanga na Azam wamewafunika wazawa baada ya kutoa mchango wa zaidi ya 80% kwenye mabao yaliyofungwa na timu hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchaguzi watesa viongozi Yanga

BAADHI ya viongozi wa klabu ya Yanga wameanza kuingiwa na hofu ya kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu ujao kwa kushindwa kutimiza ahadi kadhaa, hasa ya kulipa kisasi cha mabao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kunguni watesa wodi ya wazazi

WODI ya wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora inakabiliwa na matatizo ya wadudu aina ya kunguni. Wakizungumza kwa nyakati tofauti katika wodi hiyo, mwanamke mmoja aliyejitambulisha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani