Uchaguzi watesa viongozi Yanga
BAADHI ya viongozi wa klabu ya Yanga wameanza kuingiwa na hofu ya kutetea nafasi zao katika uchaguzi mkuu ujao kwa kushindwa kutimiza ahadi kadhaa, hasa ya kulipa kisasi cha mabao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
VIONGOZI YANGA WAANZA KUJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s1600/images.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga Shija Richard, Salum Rupia na Rogers Gumbo wamejiuzulu nafasi zao leo ndani ya klabu hiyo.
Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya Moja ya wadhamini wa Klabu hiyo kujiondoa kwa madai ya kupangiwa baadhi ya vitu na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji.
Sakata hilo liliwafanya wanachama na viongozi wa matawi kumtaka Mwenyekiti wa Klabu hiyo Dkt Mshindo Msolla kuwachukulia hatua kali wajumbe hao.
Katika taarifa wamesema, "Nimeamua kwa hiari yangu...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Kuelekea Uchaguzi:Davina Awatahadharisha Viongozi na Wananchi!!
Mwigizaji mkongwe Halima Yahya ‘Davina’, amewatahadharisha viongozi mbalimbali wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchanguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani 2015 kuwa makini ili wasisababishe vurugu au uvunjaji wa amani.
Davina alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalumu na paparazi wa GPL ambapo alisema mwaka huu unakuja kukiwa na changamoto nyingi kutokana na matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hivyo viongozi na Watanzania kwa ujumla wanatakiwa kuwa...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Kuelezea Uchaguzi:Davina Awatahadharisha Viongozi na Wananchi!!
Mwigizaji mkongwe Halima Yahya ‘Davina’, amewatahadharisha viongozi mbalimbali wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchanguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani 2015 kuwa makini ili wasisababishe vurugu au uvunjaji wa amani.
Davina alifunguka hayo juzikati katika mahojiano maalumu na paparazi wa GPL ambapo alisema mwaka huu unakuja kukiwa na changamoto nyingi kutokana na matukio mbalimbali yanayoendelea kutokea hivyo viongozi na Watanzania kwa ujumla wanatakiwa kuwa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-hm_pAhGcWQc/VfwpDF8aoXI/AAAAAAAD7tw/HfgTJSXWoOk/s72-c/tanzania-flag.gif)
TAARIFA YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hm_pAhGcWQc/VfwpDF8aoXI/AAAAAAAD7tw/HfgTJSXWoOk/s640/tanzania-flag.gif)
Tunapenda kuwataarifu kuwa tarehe 10 September Viongozi wa jumuiyatulifanya kikao na walezi wetu(Mabalozi)hapo ubalozini kujadili namnabora ya kuhitimisha muda wetu wa Uongozi.Kikao hicho kiliazimia mamboyafuatayo :A)Kuitisha mkutano Mkuu wa jumuiya hapo tarehe 5 Disemba 2015 ambaopamoja na mambo mengine utachagua Bodi ya Wadhamini wa jumuiya ambayoitasimamia uchaguzi ujao wa Viongozi.B) Kwa mara nyingine tena kikao hiki kilimridhia Mchungaji Mama Butikuaombewe Rasmi kuongozwa Kamati ya...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/R3JBFzh4sSA/default.jpg)
9 years ago
Michuzi20 Aug
Mkutano wa Tume ya Taifa Ya Uchaguzi na Viongozi wa Dini
9 years ago
Mwananchi20 Oct
Viongozi wa dini wazungumzia amani Uchaguzi Mkuu
9 years ago
Mtanzania28 Aug
‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya
![Wizkid-](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/Wizkid--300x216.jpg)
WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.
Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.
10 years ago
Habarileo13 Oct
Ukeketaji bado watesa Tarime
WATOTO wa kike wilayani Tarime mkoani Mara, bado wameendelea kuandamwa na matukio ya ukatili dhidi yao, licha ya kampeni za mara kwa mara za kupiga vita ukatili na matukio mengine yanayofanywa kutokana na imani katika mila potofu.