Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAARIFA YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.


Tunapenda kuwataarifu kuwa tarehe 10 September Viongozi wa jumuiyatulifanya kikao na walezi wetu(Mabalozi)hapo ubalozini kujadili namnabora ya kuhitimisha muda wetu wa Uongozi.Kikao hicho kiliazimia mamboyafuatayo :A)Kuitisha mkutano Mkuu wa jumuiya hapo tarehe 5 Disemba 2015 ambaopamoja na mambo mengine utachagua Bodi ya Wadhamini wa jumuiya ambayoitasimamia uchaguzi ujao wa Viongozi.B) Kwa mara nyingine tena kikao hiki kilimridhia Mchungaji Mama Butikuaombewe Rasmi kuongozwa Kamati ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.

Tunapenda kuwatangazia kwamba siku ya Jumamosi tarehe 29 machi 2014, jumuiya yetu ya Watanzania Houston itafanya sherehe ya kusimika viongozi wapya wa jumuiya. Muda ni kuanzia saa mbili kamili jioni(8pm) katika anuani ifuatayo: Turquoise Center, 9301 West Bellfort Ave. Houston TX 77031.
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...

 

10 years ago

Vijimambo

SHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.




Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...

 

10 years ago

Vijimambo

SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania unawatakia sikukuu njema wanajumuiya wote wa New York Tanzanian Community(NYTC).Tunakutakieni furaha katika sikukuu hizi,mapenzi pamoja na Afya njema,ni matumaini yetu kuwa mwaka tunaouaga ulikuwa ni mwaka wa kheri,mafanikio na baraka nyingi na kwa pamoja tunamuomba Mola aujaalie mwaka ujao 2015 uwe wenye mafanikio,Afya njema na adumishe umoja wetu ili tuendelee kushirikiana kama ambavyo tumeweza kufanya hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania North Carolina Jan 17, 2015

IMG_6126Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania North Carolina walikuwa na mkutano wa “Strategic Leadership Meeting” uliofanyika jumamosi January 17, 2015. Mkutano ulidhaminiwa na Mount Eagle University na ulifanyika Winston-Salem , (Pictures na Lucas Mmanywa) Kwa habari zaidi za Jumuiya ya Watanzania North Carolina Tembelea Tovuti yao utnc.org/blog

 

11 years ago

Vijimambo

CCM NEW YORK YAFANYA UCHAGUZI NA KUPATA VIONGOZI WAO WA TAWI

Mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi Bwana Isaac Kibodya akitoa maelezo ya jinsi ya upigaji kura. Tawi la CCM New York lilifuguliwa Miaka mitatu iliyopita lilikuwa alijawahi kufanya uchaguzi na kipindi hicho chote lilikuwa linaongozwa na viongozi wa muda. Sasa Tawi limepata viongozi wake Mwenyekiti ni Seif Akida na viongozi wengi ni katibu mwenezi wa siasa ni Steve Bubelwa, wajumbe ni bwana Magawa Ernest, Mauris Mwingira, Shaban Mseba na Ibrahim Selungwi. Kwa upande wa umoja wa vijana...

 

10 years ago

Vijimambo

EMIL MUTTA ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI UCHAGUZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA SETTLE, WA

Wagombea nafasi ya Mwenyekiti Jumuiya ya Watanzania Seattle jimbo la Washington Emil Mutta na Fatma Tamim wakijinadi na kujibu maswali mbalimbali kutoka kwa wapiga kura wao siku ya Jumapili Novemba 2, 2014 siku ulipofanyika uchaguzi wa Mwenyekiti na Emil Mutta kushinda kwa asilimia 72 kwa wapiga kura 184 waliojitokeza kati ya jumla ya Watanzania waishio jimbo hilo wanaokadiriwa kufikia 600.Joshua Gwakisa(aliyesimama) akiuliza swali kwa Wagombea wenyekiti (hawapo pichani) siku ya uchaguzi...

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV NA WAWAKILISHI WAO WAWASILI SALAMA TANZANIA NA KUTOA MSAADA WA MADAWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO

Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Bwn.. Idd Sandaly mwenye fulana nyekundu wakifanya maongezi na Mkuu wa kitengo cha Diaspora Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimaifa Bi. Rosemery Jairo siku Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV na wawakilishi wao wakiwemo manesi na madaktari wa kujitolea walipowasili Tanzania kwa ajili ya kutoa huduma za kitabibu na madawa bure katika hospitali mbalimbali Tanzania. Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV Idd Sandaly akiwa katika picha ya pamoja na mama...

 

5 years ago

Michuzi

PROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi akiwambulisha vingozi wa Jumuiya ya waTanzania DMV, viongozi wa Jumuiya za dini na taasisi zisizokua za kiserikali zinazomilikiwa na waTanzania DMV kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi na baadae kumkaribisha  kuongea nao. Picha na Vijimambo BlogWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi akiongea na vingozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani