Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.




Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania unawatakia sikukuu njema wanajumuiya wote wa New York Tanzanian Community(NYTC).Tunakutakieni furaha katika sikukuu hizi,mapenzi pamoja na Afya njema,ni matumaini yetu kuwa mwaka tunaouaga ulikuwa ni mwaka wa kheri,mafanikio na baraka nyingi na kwa pamoja tunamuomba Mola aujaalie mwaka ujao 2015 uwe wenye mafanikio,Afya njema na adumishe umoja wetu ili tuendelee kushirikiana kama ambavyo tumeweza kufanya hivyo...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAISHIO NEW YORK NA MIJI JIRANI WASHIKAMANA NA KUMZIKA MZEE ALFRED MAGEGE


Mzee Magege  apumzishwa kwenye nyumba yake ya milele kwa ushirikiano wa jumuiya ya Watanzania waishio New York na miji ya jirani. Sala ya kumuombea mzee magege na kuaga mwili wake vyote vilifanyika Victory Seventh-Day Adventist Church Bronx. Ny. na kisha kumsindikiza kwenye nyumba yake ya milele huko Mount Prospect Cemetery Neptune City. Nj.
 Mwili wa mzee Magege ukiwa ndani ya jeneza tayari kwa kuifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele. Mke wa marehemu akiwa na watoto wake mbele ya nyumba ya...

 

9 years ago

Vijimambo

TAARIFA YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.


Tunapenda kuwataarifu kuwa tarehe 10 September Viongozi wa jumuiyatulifanya kikao na walezi wetu(Mabalozi)hapo ubalozini kujadili namnabora ya kuhitimisha muda wetu wa Uongozi.Kikao hicho kiliazimia mamboyafuatayo :A)Kuitisha mkutano Mkuu wa jumuiya hapo tarehe 5 Disemba 2015 ambaopamoja na mambo mengine utachagua Bodi ya Wadhamini wa jumuiya ambayoitasimamia uchaguzi ujao wa Viongozi.B) Kwa mara nyingine tena kikao hiki kilimridhia Mchungaji Mama Butikuaombewe Rasmi kuongozwa Kamati ya...

 

10 years ago

Michuzi

NENO LA SHUKURANI KUTOKA KWA FAMILIA YA BWA UWESU MASUMI WA MBEZI BEACH JIJINI DAR

Familia ya  Bw. Uwesu Y.Mssumi wa Mbezi Beach Dar es Salaam inatoa shukurani za dhati kwa ndugu, jamaa, majirani na marafiki kwa   misaada ya hali na mali wakati  na maobolezo na  hatimaye mazishi ya mke wake mpendwa  Mwalimu  Hidaya U. Mssumi  ( mama ya Fatuma, Mwanana, Bibie na Mariam) kilichotokea  tarehe 27 April na kuzikwa tarehe 28 April, 2015.
Shukurani za pekee ziwafikie wanajumuiya wa masjid Akram, Taqwa, Noor  na Fauz  Mbezi Beach, masjid Maamur- Upanga, Dr. Halid Gongoro, Ofisi za...

 

9 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WAJITOKEZA NYUMBANI KWA NY EBRA BROOKLYN. NEW YORK KUMPA POLE KWA KUFIWA NA DADA YAKE HUKO TANZANIA


Jumuiya ya Watanzania New York New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inasikitika kuungana na Ebra Nyagaly wa Vijimambo New York kutangaza msiba wa dada yake Mpenzi Asha Nyagaly kilichotokea Dar es Salaam, Tanzania. Dada amekutwa na mauti nyumbani baada ya kuzidiwa  ghafla akitokea hospitali alipokwenda kupata matibabuKwa sasa unaweza kumpigia simu Ebra NY na kumpa pole simu 347 475 4313
Msiba utakuwa nyumbani kwaEbra702 E 37th St,Brooklyn, NY
Mwenye Enzi Mungu amsameh Marehemu makosa yake na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani