‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya
NA BADI MCHOMOLO
WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.
Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Sep
Ifahamu maana ya hit song ‘Ojuelegba’ ya Wizkid (lyrics)
10 years ago
Bongo528 Sep
Wizkid aelezea jinsi Drake alivyomtafuta Instagram na kupanga kufanya remix ya ‘Ojuelegba’
10 years ago
GPL
REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET
10 years ago
GPL
WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE
9 years ago
MillardAyo24 Dec
#NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video)
Kama ni mfatiliaji wa muziki wa Bongo Tanzania basi hii nayo inakuhusu… rapper Wakazi kaipenda ‘Ojuelegba‘ ya kijana wa Nigeria, Wizkid na kaamua kuingia studio kuisuka yake ambayo kaibatiza jina la ‘Natokea Dar’. Kama haijakufikia basi unakaribishwa na wewe kuucheki ubunifu wa rapper wakazi kwenye ‘Ojuelebga Refix‘, video ya dakika 3:44 Unataka kutumiwa MSG za […]
The post #NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video) appeared first...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
‘Ojuelegba’ ni msoto niliopitia maishani
10 years ago
Bongo507 Oct
Music: Wakazi — Natokea Dar (Ojuelegba Refix)
9 years ago
Bongo524 Dec
New Video: Wakazi – Natokea Dar (Ojuelegba Refix)

Here is Wakazi’s Ojuelegba Flip dubbed “Natokea Dar” which just like Wizkid’s original, he gives tales of the neighborhood he is from in a realistic narrative.
The bilingual emcee talks of his upbringing as well as the tales of the streets that captures an average joe’s day to day life.The video was directed by Mecky Kaloka, and shot entirely on location in the streets of Dar es Salaam.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...