Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ifahamu maana ya hit song ‘Ojuelegba’ ya Wizkid (lyrics)

Inawezekana kuna nyimbo nyingi unazozipenda kutoka sehemu mbalimbali duniani na wakati mwingine unaziimba bila kujua maana yake, lakini nafsi inauelewa na ku-enjoy kwasababu muziki ni ‘universal language’. ‘Ojuelegba’ ya Wizkid ni miongoni mwa hit songs za Afrika zilizofanikiwa kuvuka mipaka na kupendwa hata na mastaa wakubwa duniani. Ilianzia kwa Drake aliyeamua kufanya remix, akaja Alicia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya

Wizkid-NA BADI MCHOMOLO

WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.

Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid aelezea jinsi Drake alivyomtafuta Instagram na kupanga kufanya remix ya ‘Ojuelegba’

Superstar wa Nigeria, Wizkid ameelezea jinsi Drake alivyomtafuta kwaajili ya kufanya remix ya hit song yake ‘Ojuelegba’. Akizungumza kupitia kituo cha Empire FM cha Ghana, Wizkid amesema kuwa mawasiliano yao yalianzia Instagram baada ya Drake kumfollow, na baadae kumuomba waonane London, Uingereza ambako remix hiyo ilifanyika. Wizkid amesema baada ya kuona Drake amemfollow aliamua kumtumia […]

 

9 years ago

Bongo5

Google watoa orodha yao ya ‘The 10 Most-Searched Song Lyrics of 2015’

adele5

Mtandao wa Google umetoa orodha yake ya nyimbo 10 ambazo mashahiri yake yameongoza kwa kutafutwa zaidi na watu kwenye mtandao huo mwaka huu ‘The Most ‘Googled’ Song Lyrics of 2015’.

adele5

Namba moja imekamatwa na Adele kupitia wimbo wake ‘Hello’ unaopatikana kwenye album yake ’25’.

Hii ndio orodha kamili:

1. Adele – Hello

2. Hozier – Take Me to Church

3. Taylor Swift – Blank Space

4. Mark Ronson featuring Bruno Mars – Uptown Funk

5. Ed Sheeran – Thinking Out Loud

6. Drake – Hotline Bling

7. Wiz...

 

10 years ago

GPL

REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET

Mwanamuziki wa Nigeria Wizkid. RAPA Drake wa Marekani majuzi amefyatua remix yake katika wimbo wa ‘Ojuelegba’ wa mwimbaji Wizkid wa Nigeria. Remix hiyo ambayo ilitumika katika onyesho lake la OVO Sound Radio, na ambayo imemjumuisha rapa wa Uingereza aitwaye Skepta, hivi sasa inatamba vilivyo katika anga za Intaneti. Hatua hiyo imewafanya nyota wengi wa muziki nchini Nigeria kumpongeza Wizkid kwa kuzidi kujiimarisha...

 

9 years ago

Mtanzania

Trey Song kufanya ‘colabo’ na Wizkid, Davido

2015 iHeartRadio Music Festival - Night 2 - ShowLAGOS, NIGERIA

NYOTA wa muziki nchini Marekani, Tremaine Neverson ‘Trey Song’, amesema yupo tayari kufanya kazi na mkali wa muziki kutoka Nigeria, Wizkid.

Msanii huyo ambaye alikuwa nchini humo wiki iliyopita kwa ajili ya kufanya shoo kwenye mkesha wa sikukuu ya Krismasi, amesema amekuwa akivutiwa na wasanii wa Nigeria, hivyo yupo tayari kufanya nao kazi huku akitarajia kufanya na Wizkid.

“Afrika kuna wasanii wengi ambao wana uwezo wa kufanya muziki wa hali ya juu, tayari nimefanya kazi na...

 

10 years ago

GPL

WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE

Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid. NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, ambaye wimbo wake wa  ‘Ojuelegba’ unatamba baada ya kumshirikisha rapa Mmarekani, Drake, amesema mwanzoni alikuwa ametaka kumshirikisha rapa Rick Rose, lakini Drake ndiye aliyewahi kuwasiliana naye ili ashiriki kwenye wimbo huo. Katika mahojiano yake na vyombo vya habari, mwanamuziki huyo aliyezaliwa eneo la Surulere jijini Lagos,...

 

9 years ago

MillardAyo

#NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video)

Kama ni mfatiliaji wa muziki wa Bongo Tanzania basi hii nayo inakuhusu… rapper Wakazi kaipenda ‘Ojuelegba‘ ya kijana wa Nigeria, Wizkid na kaamua kuingia studio kuisuka yake ambayo kaibatiza jina la ‘Natokea Dar’. Kama haijakufikia basi unakaribishwa na wewe kuucheki ubunifu wa rapper wakazi kwenye ‘Ojuelebga Refix‘, video ya dakika 3:44 Unataka kutumiwa MSG za […]

The post #NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video) appeared first...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani