Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


#NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video)

Kama ni mfatiliaji wa muziki wa Bongo Tanzania basi hii nayo inakuhusu… rapper Wakazi kaipenda ‘Ojuelegba‘ ya kijana wa Nigeria, Wizkid na kaamua kuingia studio kuisuka yake ambayo kaibatiza jina la ‘Natokea Dar’. Kama haijakufikia basi unakaribishwa na wewe kuucheki ubunifu wa rapper wakazi kwenye ‘Ojuelebga Refix‘, video ya dakika 3:44 Unataka kutumiwa MSG za […]

The post #NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video) appeared first...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

New Video: Wakazi – Natokea Dar (Ojuelegba Refix)

20151224043649

Here is Wakazi’s Ojuelegba Flip dubbed “Natokea Dar” which just like Wizkid’s original, he gives tales of the neighborhood he is from in a realistic narrative.

The bilingual emcee talks of his upbringing as well as the tales of the streets that captures an average joe’s day to day life.The video was directed by Mecky Kaloka, and shot entirely on location in the streets of Dar es Salaam.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Wakazi — Natokea Dar (Ojuelegba Refix)

Rapper Wakazi ametoa wimbo huu mpya unaitwa “Natoke Dar” (Ojuelegba Refix) Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Hii ni video ya Teknomiles wa Nigeria ambayo rapper wa Bongo Wakazi alitokea

Wakazi ni rapper ambaye ameshafanya vitu vingi kwenye hustle zake za kimuziki, lakini kama asemavyo mwenyewe hua haoni umuhimu wa ku ‘brag’ kila kitu kwa lengo la kujisifia. Wakati kuna wasanii wa Bongo ambao wana ndoto za kupata nafasi ya kwenda Nigeria kujitangaza na kutafuta connections na mastaa wa huko, rapper Wakazi ameshawahi kufanya hayo […]

 

9 years ago

MillardAyo

Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video)

Dec 25 2015 Msanii Diamond Platnumz kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia kubwa kwenye dunia ya burudani 88.5, kwa kutoa shangwe za burudani kwenye viwanja vya Dar Live Mbagala Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]

The post Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

‘Ojuelegba’ wa Wizkid watesa Ulaya

Wizkid-NA BADI MCHOMOLO

WIMBO wa msanii kutoka nchini Nigeria, Ayodeji Balogun ‘Wizkid’ wa ‘Ojuelegba’, umeonekana kuzidi kufanya vizuri nchini Marekani kutokana na mastaa mbalimbali barani Ulaya kuweka wazi kuupenda wimbo huo.

Wasanii walioonyesha kuvutiwa na wimbo huo ni Drake, Alicia Keys, mpenzi wake Swizz Beatz pamoja na mpenzi wa msanii wa hip hop nchini humo, Tygar, Kylie Jenner ambaye ameweka video ya wimbo huo kwenye akaunti yake ya Instagram.

 

9 years ago

Bongo5

Ifahamu maana ya hit song ‘Ojuelegba’ ya Wizkid (lyrics)

Inawezekana kuna nyimbo nyingi unazozipenda kutoka sehemu mbalimbali duniani na wakati mwingine unaziimba bila kujua maana yake, lakini nafsi inauelewa na ku-enjoy kwasababu muziki ni ‘universal language’. ‘Ojuelegba’ ya Wizkid ni miongoni mwa hit songs za Afrika zilizofanikiwa kuvuka mipaka na kupendwa hata na mastaa wakubwa duniani. Ilianzia kwa Drake aliyeamua kufanya remix, akaja Alicia […]

 

9 years ago

Bongo5

Wizkid aelezea jinsi Drake alivyomtafuta Instagram na kupanga kufanya remix ya ‘Ojuelegba’

Superstar wa Nigeria, Wizkid ameelezea jinsi Drake alivyomtafuta kwaajili ya kufanya remix ya hit song yake ‘Ojuelegba’. Akizungumza kupitia kituo cha Empire FM cha Ghana, Wizkid amesema kuwa mawasiliano yao yalianzia Instagram baada ya Drake kumfollow, na baadae kumuomba waonane London, Uingereza ambako remix hiyo ilifanyika. Wizkid amesema baada ya kuona Drake amemfollow aliamua kumtumia […]

 

10 years ago

GPL

REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET

Mwanamuziki wa Nigeria Wizkid. RAPA Drake wa Marekani majuzi amefyatua remix yake katika wimbo wa ‘Ojuelegba’ wa mwimbaji Wizkid wa Nigeria. Remix hiyo ambayo ilitumika katika onyesho lake la OVO Sound Radio, na ambayo imemjumuisha rapa wa Uingereza aitwaye Skepta, hivi sasa inatamba vilivyo katika anga za Intaneti. Hatua hiyo imewafanya nyota wengi wa muziki nchini Nigeria kumpongeza Wizkid kwa kuzidi kujiimarisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani