Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video)
Dec 25 2015 Msanii Diamond Platnumz kutokea Wasafi Classic Baby (WCB) aliandika historia kubwa kwenye dunia ya burudani 88.5, kwa kutoa shangwe za burudani kwenye viwanja vya Dar Live Mbagala Dar es Salaam. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK […]
The post Diamond Platnumz alivyowapagawisha wakazi wa Dar kwa hii burudani…. (+Video) appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s72-c/Nasib.jpg)
HII NDIO VIDEO MPYA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ AFANYA NA HANSCANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s640/Nasib.jpg)
10 years ago
Bongo515 Nov
Kwanini Diamond Platnumz alilia kwenye video hii?
9 years ago
MillardAyo24 Dec
#NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video)
Kama ni mfatiliaji wa muziki wa Bongo Tanzania basi hii nayo inakuhusu… rapper Wakazi kaipenda ‘Ojuelegba‘ ya kijana wa Nigeria, Wizkid na kaamua kuingia studio kuisuka yake ambayo kaibatiza jina la ‘Natokea Dar’. Kama haijakufikia basi unakaribishwa na wewe kuucheki ubunifu wa rapper wakazi kwenye ‘Ojuelebga Refix‘, video ya dakika 3:44 Unataka kutumiwa MSG za […]
The post #NewVIDEO>> ‘Natokea Dar’ kutoka kwa rapper Wakazi.. hii kaifanya ‘Ojuelegba Refix’ ya Wizkid (+Video) appeared first...
10 years ago
CloudsFM09 Mar
10 years ago
Vijimambo20 Feb
Iyanya kaisambaza hii na Diamond Platnumz leo.
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/Iyanya.jpg?resize=412%2C270)
Iyanya ameamua kuiita hii single jina la Kiswahili ‘Nakupenda’ (I Love you) ambayo unaweza kuisikiliza kwa kubonyeza play hapa chini. Credit:MillardAyo.com
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
Diamond Platnumz alivyofanya makamuzi California Jumamosi hii
Kushoto ni Balozi wa Heshima, Mhe. Ahmed Issa akiwasili ukumbini hapo akiongozana na wanajumuiya wa California.
Diamond Platnumz mwanamuziki wa bongo fleva asieshikika sasa hivi ambaye ni maarufu zaidi kwenye wimbo wake wa my number one aliyemshirikisha mwanamuziki mwingine wa Nigeria anayefanya vizuri sasa hivi Davido akifanya show kali jijini Los Angeles, California siku ya Jumamosi June 28, 2014 ikiwa pia akijiandaa kwenye BET award’14 inayofanyika leo jijini humo wimbo wake wa my...