WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE
![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4h-Q4IBOTI3tjoctd5g2KCDKeD2PgBkmuXq8xSYol3ItYAPSJy4DQab1brYliQvPyWvn9jdxkhUCgIpWJPuIngw/STARBOY_S35.jpg?width=650)
Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid. NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, ambaye wimbo wake wa ‘Ojuelegba’ unatamba baada ya kumshirikisha rapa Mmarekani, Drake, amesema mwanzoni alikuwa ametaka kumshirikisha rapa Rick Rose, lakini Drake ndiye aliyewahi kuwasiliana naye ili ashiriki kwenye wimbo huo. Katika mahojiano yake na vyombo vya habari, mwanamuziki huyo aliyezaliwa eneo la Surulere jijini Lagos,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR67eLdragVksXJJIVns9y4IRHByX-zqTwncLzKQBKS5zfBvG6W*uedeQ2hjDjRqwGooXq1FOJWb9oz6i80cirN*/WizkidPic1.jpg?width=650)
REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET
9 years ago
Bongo528 Sep
Wizkid aelezea jinsi Drake alivyomtafuta Instagram na kupanga kufanya remix ya ‘Ojuelegba’
9 years ago
Bongo530 Oct
New Music: Adele f/ Rick Ross — Hello (Remix)
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz)
Ubunifu wa michoro umekuwa maarufu sana siku hizi na ni kitu kinachovutia… najua hawa mastaa wote hawajawahi kuonekana wakiwa na mavazi ya kiafrika, pata picha eti Chris Brown anatupia nguo za kiafrika itakuwaje??!! Hapa nimepata picha za ubunifu ambazo wanaonekana Drake, Jay Z, P Diddy, Rick Ross na Chris Brown kwenye muonekano wa nguo ambazo mara […]
The post Pata picha Jay Z, Drake, Rick Ross, P Diddy na Chris Brown wanatokea kama machifu wa Nigeria.. (+Pichaz) appeared first on...
10 years ago
Bongo504 Nov
New Music: DJ Khaled f/ Usher, Rick Ross, Fabolous, & Ace Hood – ‘Hold You Down (Remix)’
9 years ago
Bongo524 Dec
50 Cent amshtaki Rick Ross kwa kutumia beat ya ‘In Da Club’ kwenye mixtape yake
![rick-ross-and-50-cent](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/rick-ross-and-50-cent-300x194.jpg)
50 Cent anamshtaki Rick Ross akitaka alipwe dola milioni 2 kwa kuitumia beat ya wimbo wake wa kitambo, ‘In Da Club.’
50 Cent anadai kuwa Rick Ross ametumia wimbo huo bila ruhusa yake ili kuipa kiki albamu yake Black Market.
Mashtaka hayo yamekuja miezi kadhaa baada ya 50 naye kutakiwa kulipa dola milioni 5 kwa Lastonia Leviston baada ya kupost sex tape yake. Leviston ana mtoto na Rick Ross.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata...
9 years ago
Bongo526 Sep
Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: Rick Ross amtumia mchumba wake Lira Galore kwenye video mpya ‘Sorry’
![rick-ross-sorry-video](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/rick-ross-sorry-video-300x194.jpg)
Rick Ross ameachia video ya wimbo wake ‘Sorry’ aliomshirikisha Chris Brown ambao ulitoka mwezi uliopita.
Kwenye video hiyo Rozay amemtumia mchumba wake Lira Galore kama video model, ikiwa ni siku moja tu imepita toka rapper huyo apost video kwenye mtandao wa Snapchat ikimuonesha yuko na Lira ambaye alionekana amevaa pete ya uchumba aliyovishwa na Rozay, siku chache toka zisambae taarifa kuwa wawili hao wameachana na Lira karudisha pete.
‘Sorry’ ni wimbo wa kwanza kutoka kwenye album mpya...