Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake

Toka Wizkid atoe remix ya ‘Ojuelegba’ ambayo amewashirikisha Drake na Skepta, Drake hakuwahi kusema ni kitu gani kilimsukuma kufanya remix kwa mapenzi yake mwenyewe. Hatimaye Drake amezungumza na kutoa sababu za kuamua kufanya remix hiyo, katika mahojiano aliyofanya na jarida la FADER toleo lake la 100. Baada ya rapper huyo wa Canada kuulizwa endapo aliamua […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET

Mwanamuziki wa Nigeria Wizkid. RAPA Drake wa Marekani majuzi amefyatua remix yake katika wimbo wa ‘Ojuelegba’ wa mwimbaji Wizkid wa Nigeria. Remix hiyo ambayo ilitumika katika onyesho lake la OVO Sound Radio, na ambayo imemjumuisha rapa wa Uingereza aitwaye Skepta, hivi sasa inatamba vilivyo katika anga za Intaneti. Hatua hiyo imewafanya nyota wengi wa muziki nchini Nigeria kumpongeza Wizkid kwa kuzidi kujiimarisha...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nicki Minaj asema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na Drake wala Lil Wayne kwenye wimbo mpya ‘Only’

Nicki Minaj ameachia rasmi single mpya iitwayo ‘Only’ kama alivyoahidi, ambayo kawashirikisha Chris Brown, Drake na Lil Wayne. Hii ni single ya tatu kutoka kwenye album yake mpya itakayotoka Dec.16, ‘The Pink Print’. Katika ‘Only’ Minaj amesema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na wasanii aliowashirikisha yaani Lil Wayne na Drake katika maisha yake. Mwanzoni kabisa mwa wimbo […]

 

9 years ago

Bongo5

Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu

Peter Msechu

Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.

Peter Msechu

Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.

baghdad wa zamani na sasa
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani

“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...

 

5 years ago

CCM Blog

TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA

Trump at a cabinet meetingHaki miliki ya pichaGETTY IMAGESRais Donald Trump amesema ni '' ni heshima '' kuwa Marekani ina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi vya corona duniani.''Ninalitazama suala hili kama heshima fulani, kama jambo zuri kwasababu inamaanisha kuwa vipimo vyetu viko vizuri,'' alieleza akiwa Ikulu ya Marekani.Marekani ina watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000, kwa mujibu wa takwimu zinazokusanywa na Chuo Kikuu cha Johns Hopkins. Nchi inayoshika nafasi ya pili ni...

 

9 years ago

Bongo5

Baada ya kuonesha kumkubali Wizkid, Alicia Keys kumshirikisha kwenye wimbo wake

Alicia n WizkidAyodeji Ibrahim Balogun, maarufu kama Wizkid ni msanii ambaye kwasasa wanamuziki wengi wakubwa wa Marekani, sio tu wanapenda muziki wake bali wanatamani kumshirikisha katika kazi zao. Akiwa Tanzania wiki iliyopita, Wizkid (25) aliwataja baadhi ya wasanii wakubwa duniani ambao wametaka kufanya naye kazi, kumshirikisha katika kazi zao. Miongoni mwao alimtaja mfalme wa RnB, Robert Kelly […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima

Mpaka sasa Marekani imethibitisha watu milioni 1.5 walioathiriwa na virusi vya corona na karibu vifo 92,000.

 

10 years ago

GPL

WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE

Nyota wa muziki nchini Nigeria, Wizkid. NYOTA wa muziki nchini Nigeria, Wizkid, ambaye wimbo wake wa  ‘Ojuelegba’ unatamba baada ya kumshirikisha rapa Mmarekani, Drake, amesema mwanzoni alikuwa ametaka kumshirikisha rapa Rick Rose, lakini Drake ndiye aliyewahi kuwasiliana naye ili ashiriki kwenye wimbo huo. Katika mahojiano yake na vyombo vya habari, mwanamuziki huyo aliyezaliwa eneo la Surulere jijini Lagos,...

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel asema hakufurahishwa na kitendo cha kuondolewa kwa utambulisho wake kwenye wimbo wa ‘Nana’

Nahreel

Kuna baadhi ya watu huenda hawafahamu kuwa mdundo wa ‘Nana’ wa Diamond Platnumz ni zao la producer Nahreel wa The Industry, na hii ni kutokana kwamba haina ule utambulisho wa kazi zake ‘Nahreel on the beat’ ambao husikika kwenye kazi zote alizotayarisha.

Nahreel

Nahreel amesema kuwa kiashirio cha producer kwenye wimbo huo kiliondolewa kwa sababu ambazo hakuona kama zina uzito.

“Sababu walizosema walisema tu stori ilivyoanza pale mbele ile slogan yangu ingeleta hitilafu lakini it doesn’t make sense,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani