Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake
Toka Wizkid atoe remix ya ‘Ojuelegba’ ambayo amewashirikisha Drake na Skepta, Drake hakuwahi kusema ni kitu gani kilimsukuma kufanya remix kwa mapenzi yake mwenyewe. Hatimaye Drake amezungumza na kutoa sababu za kuamua kufanya remix hiyo, katika mahojiano aliyofanya na jarida la FADER toleo lake la 100. Baada ya rapper huyo wa Canada kuulizwa endapo aliamua […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR67eLdragVksXJJIVns9y4IRHByX-zqTwncLzKQBKS5zfBvG6W*uedeQ2hjDjRqwGooXq1FOJWb9oz6i80cirN*/WizkidPic1.jpg?width=650)
REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET
10 years ago
Bongo529 Oct
New Music: Nicki Minaj asema hakuwahi kuhusiana kimapenzi na Drake wala Lil Wayne kwenye wimbo mpya ‘Only’
9 years ago
Bongo522 Dec
Kitendo cha kupupuruka mwili nikawa kama AT kwangu itakuwa ni fedheha kubwa sana– Asema Msechu
![Peter Msechu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Peter-Msechu-300x194.jpg)
Peter Msechu hana mpango wa kupungua mwili ili awaridhishe mashabiki ambao wamekuwa wakimsema kutokana na kujiachia sana mwili.
Muimbaji huyo wa ‘Nyota’ anaamini kuwa mwonekano alionao sasa ni moja ya utambulisho wake, hivyo akipungua mwili inaweza kuharibu ‘image’ yake. Mfano wa anachokimaanisha hapo ni kama Baghdad wa zamani na alivyo sasa unaweza kumsahau baada ya kupungua sana.
Kushoto Baghdad wa sasa, kulia wa zamani
“Mi ninachokiogopa kwenye maisha yangu ni kuwa model, sababu nadhani...
5 years ago
CCM Blog20 May
TRUMP ASEMA MAREKANI KUWA NA WAGONJWA WENGI NI HESHIMA
![Trump at a cabinet meeting](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/10209/production/_112375066_gettyimages-1225867223.jpg)
9 years ago
Bongo503 Nov
Baada ya kuonesha kumkubali Wizkid, Alicia Keys kumshirikisha kwenye wimbo wake
![Alicia n Wizkid](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Alicia-n-Wizkid-94x94.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 May
Virusi vya Corona: Trump asema Marekani kuwa na wagonjwa wengi ni heshima
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4h-Q4IBOTI3tjoctd5g2KCDKeD2PgBkmuXq8xSYol3ItYAPSJy4DQab1brYliQvPyWvn9jdxkhUCgIpWJPuIngw/STARBOY_S35.jpg?width=650)
WIZKID: NILIMTAKA RICK ROSS KWENYE ‘REMIX’ YA ‘OJUELEGBA’ SIO DRAKE
9 years ago
Bongo503 Dec
Nahreel asema hakufurahishwa na kitendo cha kuondolewa kwa utambulisho wake kwenye wimbo wa ‘Nana’
![Nahreel](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/07/Nahreel-200x200.jpg)
Kuna baadhi ya watu huenda hawafahamu kuwa mdundo wa ‘Nana’ wa Diamond Platnumz ni zao la producer Nahreel wa The Industry, na hii ni kutokana kwamba haina ule utambulisho wa kazi zake ‘Nahreel on the beat’ ambao husikika kwenye kazi zote alizotayarisha.
Nahreel amesema kuwa kiashirio cha producer kwenye wimbo huo kiliondolewa kwa sababu ambazo hakuona kama zina uzito.
“Sababu walizosema walisema tu stori ilivyoanza pale mbele ile slogan yangu ingeleta hitilafu lakini it doesn’t make sense,...