Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baada ya kuonesha kumkubali Wizkid, Alicia Keys kumshirikisha kwenye wimbo wake

Alicia n WizkidAyodeji Ibrahim Balogun, maarufu kama Wizkid ni msanii ambaye kwasasa wanamuziki wengi wakubwa wa Marekani, sio tu wanapenda muziki wake bali wanatamani kumshirikisha katika kazi zao. Akiwa Tanzania wiki iliyopita, Wizkid (25) aliwataja baadhi ya wasanii wakubwa duniani ambao wametaka kufanya naye kazi, kumshirikisha katika kazi zao. Miongoni mwao alimtaja mfalme wa RnB, Robert Kelly […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Alicia Keys na Jussie Smollett (Jamal) wakiimba ‘Powerful’ kwenye ‘Empire’

alicia-keys-press-2014-billboard-650-c

Alicia Keys na Jussie Smollett maarufu kama Jamal kwenye tamthilia ya Empire wamekutana kwenye tamthilia hiyo na kuimba wimbo “Powerful.”

Keys ameigiza kwa jina la Skye Summers.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Alicia Keyz ampa shavu Wizkid la kutumbuiza kwenye hafla yake ya ‘Keep a Child Alive’

Miezi miwili iliyopita Mastaa wa Marekani wakiwemo, Alicia Keyz na mume wake Swizz Beatz walipost kwenye mitandao video waki enjoy wimbo wa Wizkid ‘Ojuelegba’ ikiwa ni ishara kuwa wameukubali na kumkubali mwimbaji pia. Sasa Alicia Keyz amempa shavu staa huyo wa Nigeria, Wizkid kutumbuiza kwenye hafla ya kampeni yake ya ‘Keep a Child Alive ’ […]

 

10 years ago

Bongo5

Alicia Keys na Swizz Beatz wapata mtoto wa pili wa kiume

Muimbaji Alicia Keys aliyekuwa mjamzito na mumewe Swizz Beatz wamepata mtoto wa pili aliyezaliwa Jumamosi Dec 27. Wanandoa hao wametangaza kupitia Instagram kuwa mtoto wao wa pili aliyezaliwa ni wa kiume na wamempa jina la Genesis Ali Dean. Keyz na Beatz walifunga ndoa mwaka 2010 na kufanikiwa kupata mtoto wao wa kwanza wa kiume aitwaye […]

 

9 years ago

Bongo5

Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent

222

Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.

rs_634x1024-130820163003-634.kris.cm.82013

Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.

Chanzo...

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’

Ikiwa ni wiki moja tu imepita toka Sauti Sol watoe wimbo mpya ‘Isabella’, ikiwa ni single yao ya sita kutoka kwenye album yao ijayo ya tatu, bendi hiyo imeonesha dalili kuwa ina mpango wa kumshirikisha mwimbaji wa kimataifa wa RnB, John Legend kwenye remix ya wimbo huo. Kupitia akaunti yao ya Instagram, Sauti Sol wamewashirikisha […]

 

9 years ago

Bongo5

Ni heshima kubwa kwangu kuwa kwenye wimbo wa Wizkid — Asema Drake

Toka Wizkid atoe remix ya ‘Ojuelegba’ ambayo amewashirikisha Drake na Skepta, Drake hakuwahi kusema ni kitu gani kilimsukuma kufanya remix kwa mapenzi yake mwenyewe. Hatimaye Drake amezungumza na kutoa sababu za kuamua kufanya remix hiyo, katika mahojiano aliyofanya na jarida la FADER toleo lake la 100. Baada ya rapper huyo wa Canada kuulizwa endapo aliamua […]

 

10 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego apanga kumshirikisha Wizkid

Nay wa Mitego amedai kuwa kwenye harakati za kufanya collabo na masupastaa wa Nigeria, Wizkid au D’Banj. Akizungumza kwenye kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds TV, Nay alisema tayari ameshafanya mazungumzo na uongozi wake pamoja na yeye mwenyewe Wizkid. “Tupo kwenye process ambazo zinaelekea mwishoni,” alisema. “Unajua yule ni mtu ambaye ana menejimenti lakini this […]

 

10 years ago

GPL

REMIX YA DRAKE YA WIMBO WA WIZKID WA 'OJUELEGBA' YATAMBA KWENYE INTERNET

Mwanamuziki wa Nigeria Wizkid. RAPA Drake wa Marekani majuzi amefyatua remix yake katika wimbo wa ‘Ojuelegba’ wa mwimbaji Wizkid wa Nigeria. Remix hiyo ambayo ilitumika katika onyesho lake la OVO Sound Radio, na ambayo imemjumuisha rapa wa Uingereza aitwaye Skepta, hivi sasa inatamba vilivyo katika anga za Intaneti. Hatua hiyo imewafanya nyota wengi wa muziki nchini Nigeria kumpongeza Wizkid kwa kuzidi kujiimarisha...

 

9 years ago

Bongo5

Octopizzo hakudanganya tu kumshirikisha August Alsina, upo ushahidi hata wimbo ‘This Could Be Us’ ameuiba!

Rapper wa Kenya Octopizzo anazidi kuumbuka kutokana na wimbo wake wa ‘This Could Be us’ ambao hapo awali alidai kuwa amemshirikisha staa wa Marekani, August Alsina. Baada ya uongozi wa August kukanusha msanii wao hakushirikishwa kwenye wimbo huo, lilibaki fumbo la ile sauti kwenye ya kiitikio ni ya nani kama si muimbaji huyo wa Marekani, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani