VIONGOZI YANGA WAANZA KUJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga Shija Richard, Salum Rupia na Rogers Gumbo wamejiuzulu nafasi zao leo ndani ya klabu hiyo.
Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya Moja ya wadhamini wa Klabu hiyo kujiondoa kwa madai ya kupangiwa baadhi ya vitu na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji.
Sakata hilo liliwafanya wanachama na viongozi wa matawi kumtaka Mwenyekiti wa Klabu hiyo Dkt Mshindo Msolla kuwachukulia hatua kali wajumbe hao.
Katika taarifa wamesema, "Nimeamua kwa hiari yangu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Viongozi kujiuzulu pekee haitoshi
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Utamaduni wa viongozi kujiuzulu haupo nchini
11 years ago
Habarileo25 Apr
Viongozi Chadema, CUF, NCCR watakiwa kujiuzulu
WANACHAMA wa vyama vya siasa vya upinzani kikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi-CUF, wametakiwa kuwashurutisha viongozi wao wa kitaifa wajiuzulu mara moja kwa kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Viongozi wa cuf waanza kusekwa
Bukoba. Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba. Watu hao, wakiwamo viongozi na […]
The post Viongozi wa cuf waanza kusekwa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Viongozi wa Umma waanza kubanwa
9 years ago
Habarileo21 Aug
Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
10 years ago
VijimamboHIKI NDICHO ALIKIELEZA MANJI NA KUTISHIA KUJIUZULU UENYEKITI YANGA SABABU YA UFISADI KAMA MENGI ATATHIBITISHA
KATIKA PITAPITA, TUMEPATA BARUA YA MWENYEKITI WA YANGA KUPITIA MTANDAO WA www.manjivsmengi.com IKIELEZA MAMBO MENGI NA MWALIKO WA MDAHALO AMBAO MANJI AMEUTOA KWA MENGI.MDAHALO HUO UNAFANYIKA IJUMAA HII NA UTARUSHWA MOJA KWA MOJA NA TBC KUANZIA SAA 12 JIONI HADI SAA 1 USIKU. SOMA BARUA HIYO.
Hisia za Bwana Mengi kwenye vyombo vya habari kuwa kampuni yangu inamiliki fedha za serikali chini ya Commodity Import Support (CIS)
Mengi ametupa lawama akizishutumu kampuni kama Farm Equip, Apollo Tires,...
9 years ago
Habarileo13 Sep
Yanga waanza kutetea taji
MABINGWA watetezi kwenye Ligi Kuu Bara, Yanga, leo wanaanza kampeni za kutetea taji hilo kwa kukwaana na Coastal Union kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
11 years ago
MichuziViongozi waanza kuwasili nchini kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano