Viongozi wa cuf waanza kusekwa
Bukoba. Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba. Watu hao, wakiwamo viongozi na […]
The post Viongozi wa cuf waanza kusekwa appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Viongozi wa Umma waanza kubanwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
VIONGOZI YANGA WAANZA KUJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s1600/images.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga Shija Richard, Salum Rupia na Rogers Gumbo wamejiuzulu nafasi zao leo ndani ya klabu hiyo.
Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya Moja ya wadhamini wa Klabu hiyo kujiondoa kwa madai ya kupangiwa baadhi ya vitu na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji.
Sakata hilo liliwafanya wanachama na viongozi wa matawi kumtaka Mwenyekiti wa Klabu hiyo Dkt Mshindo Msolla kuwachukulia hatua kali wajumbe hao.
Katika taarifa wamesema, "Nimeamua kwa hiari yangu...
9 years ago
Habarileo21 Aug
Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
Habarileo11 Mar
CAG akutana na viongozi wa CUF
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, amekutana na uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), kujadiliana kuhusu fedha za chama hicho kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2010 hadi 2012.
11 years ago
MichuziViongozi waanza kuwasili nchini kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano
11 years ago
Habarileo25 Apr
Viongozi Chadema, CUF, NCCR watakiwa kujiuzulu
WANACHAMA wa vyama vya siasa vya upinzani kikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi-CUF, wametakiwa kuwashurutisha viongozi wao wa kitaifa wajiuzulu mara moja kwa kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
StarTV05 Jan
Viongozi CUF waaswa kutekeleza ahadi zao.
Na Abdalla Pandu,
Zanzibar.
Katibu mkuu wa Chama cha wananchi CUF Maalim Seif Sharif Hamadi amewataka viongozi wa chama hicho kujenga utamaduni wa kutekeleza ahadi wanazotoa na kuacha tabia ya kuahidi mambo wasiyoyaweza kuyatekeleza kwani ndio chanzo cha migogoro kati yao na wananchi.
Anasema viongozi hutumia fursa za kampeni za kutaka uongozi kwa kutoa ahadi nyingi ambazo wanashindwa kuzitekeleza ipasavyo hali inayochangia wananchi kutokuwa na imani na viongozi hao.
loans online sc ...
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Polisi yavamia ofisi za CUF, yakamata viongozi tisa
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimelaani kitendo cha Jeshi la Polisi mkoani Mtwara kuvamia ofisi za chama hicho na kuwakamata wanachama tisa.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Naibu Mkurugenzi Habari na Uenezi wa CUF, Abdual Kambaya, ilisema Machi 12, mwaka huu kati ya saa saba mchana hadi saa 10 jioni, polisi walifika katika ofisi za chama hicho na kupekua bila kusema wanatafuta nini.
“Walipekua ofisi na baadaye walihamia katika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s72-c/IMG_8985.jpg)
URUWA WAOMBA KUKUTANA NA VIONGOZI WA ZAC, CUF,CCM NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s640/IMG_8985.jpg)
Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na viongozi wa mashirkiano ya umoja wa vyama vya UDA, TADEA,UDP,UPDP,na SAU kwa kuwaomba viongozi wa ZEC,CUF,CCM na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili waweze kukutana na kuzungumza pamoja kuhusiana na migoro wa kisiasa nchini humo, ameyasema leo jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nHNqjMbdGUw/VnkvR5LpSpI/AAAAAAAIN1M/Vf2q1ae2-I0/s640/IMG_8949.jpg)