Viongozi wa Umma waanza kubanwa
Viongozi wa Serikali waliobainika kuhusika katika matumizi mabaya ya madaraka na kutokutoa tamko la rasilimali na madeni, wameanza kuitwa mbele ya Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LuR_yz-NAoQ/U6RAwRz5n6I/AAAAAAAFr-o/_q19glYltwQ/s72-c/No.+1.jpg)
Wananchi wahimizwa kutembelea Banda la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
Wananchi wamehimizwa kutembelea banda la Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Wito huo umetolewa na Afisa wa Maadili Mwandamizi Bw. Bazilio Mwanakatwe wakati akizungumza na Waandishi wa Habari waliotembelea banda la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma katika maonesho hayo.
Bw. Mwanakatwe aliendelea kubainisha kuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
VIONGOZI YANGA WAANZA KUJIUZULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-5Mojp2vnKuY/Xn4i2wjQmLI/AAAAAAALlUo/SFwNMY-a8EoqOVRX3GeqASuw40tmSNMbACLcBGAsYHQ/s1600/images.jpg)
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga Shija Richard, Salum Rupia na Rogers Gumbo wamejiuzulu nafasi zao leo ndani ya klabu hiyo.
Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya Moja ya wadhamini wa Klabu hiyo kujiondoa kwa madai ya kupangiwa baadhi ya vitu na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji.
Sakata hilo liliwafanya wanachama na viongozi wa matawi kumtaka Mwenyekiti wa Klabu hiyo Dkt Mshindo Msolla kuwachukulia hatua kali wajumbe hao.
Katika taarifa wamesema, "Nimeamua kwa hiari yangu...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
Viongozi wa cuf waanza kusekwa
Bukoba. Jeshi la Polisi limewakamata watu 16 akiwamo Mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Bukoba kwa madai ya kuhusika na vitendo vya uchomaji wa makanisa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Bukoba. Watu hao, wakiwamo viongozi na […]
The post Viongozi wa cuf waanza kusekwa appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo21 Aug
Viongozi wapya waanza kubebeshwa majukumu
MTANDAO wa Jamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania (Mjumita), umeomba viongozi watakaochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kuwa na dhamira ya kweli ya kukabili na kuhimili mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
MichuziViongozi waanza kuwasili nchini kwa ajili ya Maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Viongozi watakaofuja fedha za umma kukiona
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Maadili viongozi wa umma yazidi kumomonyoka
10 years ago
MichuziMRADI WA UJENZI WA NYUMBA 10,000 ZA MAKAZI YA WATUMISHI WA SERIKALI NA WA UMMA WAANZA KATIKA MAENEO MBALI MBALI NCHINI
10 years ago
KwanzaJamii27 Aug
MKAPA: MMOMONYOKO WA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA UNATISHA