Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi kujiuzulu pekee haitoshi

Jana Profesa Sosperter Muhongo alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Waziri wa Nishati na Madini, akieleza kuwa anataka nchi isonge mbele kwa kuwa suala la kumtaka Rais amwondoe kutokana na kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limesababisha mambo mengi kukwama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATEMA SUMU,WEZI WA ESCROW/IPTL WAKAMATWE,WAFILISIWE,WAFUNGWE.KUJIUZULU TU HAITOSHI.

Imenukuliwa Kutoka Gazeti la Mwananchi(www.mwananchi.co.tz)

Habari zaidi kutoka ndani ya kikao hicho zinaeleza kuwa Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alitoa msimamo mkali kuhusu sakata hilo la escrow na kwamba ametaka hatua zichukuliwe kwa wahusika wote.
Katika kikao hicho inaelezwa kwamba Nchemba alionyesha msimamo wake waziwazi kuwa sakata hilo ni hujuma  na kwamba haiwezekani walioiba fedha hizo wakaachiwa tu hivihivi.
Ndani ya kikao hicho imeelezwa kuwa Mwigulu alijitokeza na kusema...

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI YANGA WAANZA KUJIUZULU


Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Yanga Shija Richard, Salum Rupia na Rogers Gumbo wamejiuzulu nafasi zao leo   ndani ya klabu hiyo.

Hatua hiyo imekuja siku kadhaa baada ya Moja ya wadhamini wa Klabu hiyo kujiondoa kwa madai ya kupangiwa baadhi ya vitu na wajumbe wanne wa kamati ya utendaji.

Sakata hilo liliwafanya wanachama na viongozi wa matawi kumtaka Mwenyekiti wa Klabu hiyo Dkt Mshindo Msolla kuwachukulia hatua kali wajumbe hao.

Katika taarifa wamesema, "Nimeamua kwa hiari yangu...

 

10 years ago

Mwananchi

Utamaduni wa viongozi kujiuzulu haupo nchini

Kuna wakati napatwa na butwaa ninapofuatilia taarifa za viongozi wanaojiuzulu katika nchi za wenzetu (sio za bara la Afrika).

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi Chadema, CUF, NCCR watakiwa kujiuzulu

WANACHAMA wa vyama vya siasa vya upinzani kikiwemo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR-Mageuzi na Chama cha Wananchi-CUF, wametakiwa kuwashurutisha viongozi wao wa kitaifa wajiuzulu mara moja kwa kususia vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Nchi hii si ya viongozi au wanasiasa pekee

Ninapofuatilia kadhia wanazokumbana nazo Watanzania karibu kila kona ya nchi hii, nabaki nikijiuliza hivi nchi hii ni kwa ajili ya nani hasa?

 

10 years ago

BBCSwahili

USA:Kampeni ya angani dhidi IS haitoshi

Mkuu wa jeshi nchini Marekani amesema kuwa kampeni ya angani dhidi ya kundi la Islamic State hayawezi kuliangamiza kundi hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lawama haitoshi kwa ndoa za utotoni

KWA miaka nenda miaka rudi sasa imekuwa ni kawaida panapokaribia mwezi mtukufu wa Ramadhani kuona sherehe za harusi zimetanda karibu kila pembe ya Zanzibar. Watu hufurahi na kula mapochopocho na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kweli itashinda kesho kama leo haitoshi!

RAIS wangu kilio chako ulichokitoa Uchina, Dunia imekisikia na kwa watu wako wa Tanzania kimewafikia, lakini Ulimwengu unakitafakari kilio hicho! Baba kwanini ulikwenda kulilia kwa watu baki wasiokujua? Kama kazi...

 

11 years ago

Michuzi

Bunge la Katiba: Maoni kuhusu malalamiko kuwa posho haitoshi


Maoni ya baadhi ya wadau kuhusu lawama kutoka kwa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuwa posho ya Shilingi 300,000/= wanayolipwa kwa siku, haikidhi haja.

Maria Sarungi-Tsehai, Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia kwenye ukurasa wake wa Facebook ameandika: Kimsingi tuliteuliwa kwenda kuwakilisha wananchi wa vikundi mbalimbali katika Bunge maalum la katiba kufanya kazi moja tu kwa siku 70 - kuandaa pendekezo la katiba kisha tutawanyike turudi makwetu. Hatujaenda huko kutajirika wala...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani