Nchi hii si ya viongozi au wanasiasa pekee
Ninapofuatilia kadhia wanazokumbana nazo Watanzania karibu kila kona ya nchi hii, nabaki nikijiuliza hivi nchi hii ni kwa ajili ya nani hasa?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Viongozi kujiuzulu pekee haitoshi
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Viongozi, wanasiasa wamlilia Filikunjombe
Na Agatha Charles
VIONGOZI, wanasiasa na watu wa kada mbalimbali wameeleza kushtushwa na kifo cha aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Ludewa mkoani Njombe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe.
Mgombea urais anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari alisema pamoja na taarifa hizo kumshtua sana, lakini Taifa limepata pigo kubwa ndani ya kipindi kifupi baada ya kuondokewa na wanasiasa...
9 years ago
StarTV04 Sep
Viongozi wa dini Kilimanjaro wawaonya wanasiasa
Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Kilimanjaro wamewaonya wanasiasa kuacha lugha potofu na zenye uchochezi ambazo zinaweza kusababisha uvunjifu wa amani hasa wakati huu ambao watanzania wako katika harakati za kufanya uchaguzi wa viongozi watakaoliongoza taifa kwa miaka mitano ijayo.
Kauli za viongozi hao zinakuja kutokana na baadhi ya wanasiasa kutumia mikutano na majukwaa ya kampeni kutamka maneno ambayo yanahatarisha amani nchini.
Hayo yamejiri katika mkutano ulioandaliwa na viongozi...
10 years ago
Mwananchi02 Apr
‘Viongozi wa dini acheni kuwatembeza wanasiasa’
9 years ago
Habarileo13 Oct
Viongozi wa dini watakiwa kuwakwepa wanasiasa
VIONGOZI wa dini wametakiwa kuwa wavumilivu na kuacha mabishano na wanasiasa ili kuepusha mvurugano unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxysWeGkj*7x-PExTeMFRw56hEKFfiQyppYxycpqLQMfxIh9ZwUD0K7OqE6yiAL5VIUP9S*P3Vphr9wjMXMKauQw/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
DAWA YA WANASIASA HII HAPA!
10 years ago
Habarileo19 Jul
Viongozi wa dini wataka wanasiasa kukubali matokeo
WAKATI Waislamu mkoani Kigoma wakiungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr, viongozi wa dini na mashehe wamewataka wanasiasa waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kukubali matokeo ili kudumisha amani ya nchi yetu.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Viongozi wa dini wakumbuka mashujaa ‘walia’ na wanasiasa
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video)
Bado headlines za anayetajwa kuwa kocha ghali kwa sasa duniani Pep Guardiola anakwenda kufundisha klabu gani zinazidi kuchukua nafasi, tayari Pep Guardiola ametaja nchi atakayokwenda kufundisha soka baada ya kukiri kuwa hatoendelea na kuifundisha klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani. Pep Guardiola amekiri kuamua kuondoka ndani ya klabu ya FC Bayern, baada ya kuitumikia […]
The post Hii ndio sababu inayomfanya Guardiola aondoke FC Bayern na kuthibisha kwenda nchi hii (+Video) appeared first...