Viongozi wa dini wataka wanasiasa kukubali matokeo
WAKATI Waislamu mkoani Kigoma wakiungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr, viongozi wa dini na mashehe wamewataka wanasiasa waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kukubali matokeo ili kudumisha amani ya nchi yetu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi02 Apr
‘Viongozi wa dini acheni kuwatembeza wanasiasa’
9 years ago
StarTV04 Sep
Viongozi wa dini Kilimanjaro wawaonya wanasiasa
Viongozi wa madhehebu ya dini mkoani Kilimanjaro wamewaonya wanasiasa kuacha lugha potofu na zenye uchochezi ambazo zinaweza kusababisha uvunjifu wa amani hasa wakati huu ambao watanzania wako katika harakati za kufanya uchaguzi wa viongozi watakaoliongoza taifa kwa miaka mitano ijayo.
Kauli za viongozi hao zinakuja kutokana na baadhi ya wanasiasa kutumia mikutano na majukwaa ya kampeni kutamka maneno ambayo yanahatarisha amani nchini.
Hayo yamejiri katika mkutano ulioandaliwa na viongozi...
9 years ago
Habarileo13 Oct
Viongozi wa dini watakiwa kuwakwepa wanasiasa
VIONGOZI wa dini wametakiwa kuwa wavumilivu na kuacha mabishano na wanasiasa ili kuepusha mvurugano unaoweza kusababisha uvunjifu wa amani katika kipindi hiki cha uchaguzi.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Viongozi wa dini wakumbuka mashujaa ‘walia’ na wanasiasa
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Viongozi wa dini, wanasiasa waombwa kusaidia kufanikisha chanjo ya Surua na Rubella
Mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi, akifungua kikao cha uhabarisho wa chanjo mpya ya Surua na Rubella wilayani humo. Dc Mlozi pamoja na mambo mengine, ameagiza viongozi wa madhehebu ya dini na wale wa kisiasa, kushiriki kikamilifu zoezi hilo la kitaifa linalotarajiwa kuanza Okt. 18 hadi 24 mwaka huu. Jumla ya watoto 103,879 wilayani humo, wanatarajiwa kupatiwa chanjo hiyo. Kulia ni Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Mwendahasara Maganga.
Na Nathaniel Limu,...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yatakiwa kukubali matokeo
9 years ago
Habarileo24 Oct
Wazee wawataka wagombea kukubali matokeo
BARAZA la wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, limewataka wagombea wote kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu, baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
9 years ago
Habarileo21 Oct
Pinda avitaka vyama kukubali matokeo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema demokrasia ya kweli ni kukubali ukweli, hivyo wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili, wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo pindi watakaposhindwa.
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..