Lowassa: Siwezi kukubali matokeo kama..
Mgombea urais kupitia Chadema anayeungwa mkono na vyama vya Ukawa, Edward Lowassa amesema kuwa hataweza kukubali kushindwa katika kinyang’anyiro hicho mpaka itakapothibitika kuwa uchaguzi ulikuwa huru na haki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Yanga yatakiwa kukubali matokeo
9 years ago
Habarileo24 Oct
Wazee wawataka wagombea kukubali matokeo
BARAZA la wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, limewataka wagombea wote kuyakubali matokeo ya uchaguzi mkuu, baada ya kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
9 years ago
Habarileo21 Oct
Pinda avitaka vyama kukubali matokeo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema demokrasia ya kweli ni kukubali ukweli, hivyo wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumapili, wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kukubali matokeo pindi watakaposhindwa.
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Taifa liandaliwe kukubali matokeo baada ya uchaguzi
10 years ago
Habarileo19 Jul
Viongozi wa dini wataka wanasiasa kukubali matokeo
WAKATI Waislamu mkoani Kigoma wakiungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Idd el Fitr, viongozi wa dini na mashehe wamewataka wanasiasa waliojitokeza kugombea nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu, kukubali matokeo ili kudumisha amani ya nchi yetu.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-etrM97_pZhs/VaKBmms-CmI/AAAAAAAAI5k/aNAL0lQYCVQ/s72-c/Migiro.jpg)
Hotuba Ya Dr Asha - Rose Migiro Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-etrM97_pZhs/VaKBmms-CmI/AAAAAAAAI5k/aNAL0lQYCVQ/s640/Migiro.jpg)
Dr Migiro alishika nafasi ya tatu katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na Balozi Amina Salum Ali
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jS1MAW06Oco/VaKFHi8hg7I/AAAAAAAAI54/PymvAqkgdsM/s72-c/Untitled.jpg)
Hotuba Ya Balozi Amina Salum Ali Kukubali Matokeo Ya Mkutano Mkuu wa CCM 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-jS1MAW06Oco/VaKFHi8hg7I/AAAAAAAAI54/PymvAqkgdsM/s640/Untitled.jpg)
Balozi Amina alishika nafasi ya pili katika uchaguzi huo nyuma ya mgombea wa chama Dr John Pombe Magufuli na mbele ya Dr Asha-Rose Migiro
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Askofu Gwajima: Siwezi kuwatupa Dk Slaa, Lowassa
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Lowassa: Siwezi kuzuia mafuriko kwa mikono